Faida ya kujisajili kituo cha uwekezaji

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
14,244
Reaction score
10,073
Wakuu habari zenu,

Naomba kujua faida gani unapata ukisajiLi mradi/miradi(project/projects) kwenye kituo cha uwekezaji Tanzania(TIC).

Na kusajiLi mradi ni kuna gharama yoyote mwenye mradi anatakiwa kulipa au hamna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…