misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 14,244 Reaction score 10,073 May 2, 2017 #1 Wakuu habari zenu, Naomba kujua faida gani unapata ukisajiLi mradi/miradi(project/projects) kwenye kituo cha uwekezaji Tanzania(TIC). Na kusajiLi mradi ni kuna gharama yoyote mwenye mradi anatakiwa kulipa au hamna?
Wakuu habari zenu, Naomba kujua faida gani unapata ukisajiLi mradi/miradi(project/projects) kwenye kituo cha uwekezaji Tanzania(TIC). Na kusajiLi mradi ni kuna gharama yoyote mwenye mradi anatakiwa kulipa au hamna?