Faida ya kula tunda la nyanya katika mwili wa binadamu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363



MAHITAJI:
Nyanya inaupatia mwili wetu faida zifuatazo.• Vitamin C, A na K
• Pottasium
• Manganese
• Ufumwele
• Cromium
• Vitamini B1 na B6
• Chuma
• Kopa
• Vitamin B2 na B3
• Magnesium
• Folate, Phosphorous
• Protini ingawa kwa kiasi kidogo.
• Tryptohan, Folate na Molybdenum.


Wengi wetu tunafikiri nyanya hazina umuhimu sana kwa mwili, lakini labda kwa kujua yanayopatikana ndani yake, tukabadilika mawazo yetu.Nyanya si kiungo cha chakula tu kinachotoa ladha nzuri kwenye mchuzi, na kachumbari lakini pia zina faida kubwa kwa mwili.Kweli inabidi kwa kujua hivyo, tusiidharua nyanya tena!
 
dah.,.... zinanikumbusha rais wangu jakaya............ huku nyumba inaungua, yeye anakagua bustani za nyanya brasil

"speed in a wrong direction is irrelevant"
 
Zitanikoma nyanya....ni kachumbari kila siku. lakini vipi ukipikia si lazima hivo vurutubisho vinapotea kwa kiasi fulani?
 
dah.,.... zinanikumbusha rais wangu jakaya............ huku nyumba inaungua, yeye anakagua bustani za nyanya brasil

"speed in a wrong direction is irrelevant"
Sasa hivi tuna m-miss ! Sisi ndio watizedi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…