Faida ya kunywa maji mengi kila siku!

Faida ya kunywa maji mengi kila siku!

majebsmafuru

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
454
Reaction score
636
Wajuzi wanadai mwili wetu una maji 90%, na ndiyo maana naamini kabisa Bw. Ray Kigosi yuko sawa kabisa alivyotuashauri na kusisitiza tuwe tunakunywa maji mengi yanasafisha mwili..!

Picha kKabla hajaanza kunywa maji mengi sana!
O6.png
jd3[1].png
Kanumba.jpg


Baada ya kuanza kunywa maji mengi!
download (3).jpg
download (4).jpg
images (2).jpg
images (3).jpg
images (4).jpg
images (5).jpg
download (3).jpg
download (3).jpg
 

Attachments

  • 0.jpg
    0.jpg
    15.7 KB · Views: 133
  • images (1).jpg
    images (1).jpg
    6.1 KB · Views: 120
Hiyo ni editing tu... Nilikutana nae maeneo flani hivi jijini... Aah wala sio mweupe sana kama anayoonekana kwenye picha. Ana weupe wa wastani tu .
 
Hiyo ni editing tu... Nilikutana nae maeneo flani hivi jijini... Aah wala sio mweupe sana kama anayoonekana kwenye picha. Ana weupe wa wastani tu .
Mwambie na yeye aweke picha yake ya miaka saba au sita iliyopita tumthaminishe..maana wabongo twapenda kuwashikilia bango wenzetu..
 
Hata kama anakunywa mkorogo samahani MAJI, ni uamuzi wake, sisi weusi kama mkaa yawezekana wivu umetujaa mno, mwenzetu kuwa mweupe kama Shyrose-Bhanji kweli ndio iwe issue yetu ku-mind kihivyo kweli?!
Mwacheni ajisuguwe au aukoroge mwili au anywe maji mengi kwa wakati wake, kwanza mkumbuke fani yake yaruhusu haya mambo, ila asitembelee tu kule Uarabuni, maana wale mafirauni hawana staha kabisa wakiona mng'ao huu..
 
Yaani kichi kitendo cha kuvaa hereni, kinadhalilisha sana wanaume rijali.
 
Usipokunywa maji mangi!
images (1).jpg
slub.JPG

Ukinywa maji mengi sana..

images.jpg
download.jpg
 
Back
Top Bottom