Lameck Masanja
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 153
- 238
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupo wengi mkuu. Mimi nimeshazowea asubuhi nagonga nguna, mchana muhogo wa nazi kwa samaki, jioni nguna. Nina mwaka wa 30 sijawahi kunywa chai sijui na vichapati vya mia tano sijui.Ni kweli kabisa mkuu, nikienda huko sikai hata wiki nageuza
wakuu Leo nawaletea faida za kuishi dar mtaongezea za kwenu pia [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Faida ya Kuwa Dar-es-salaam
Rais anaapishwa Dar
Ikulu ipo Dar
Magorofa marefu yapo Dar
Magari ya Mwendokasi yapo Dar
Tren za Mwakyembe zipo Dar
Yanga ipo Dar
Simba ipo Dar
Azam ipo Dar
Bahari ya Hindi ipo Dar
Hospital ya Hindi Taifa ipo Dar
Coco Beach ipo Dar
TV zote kubwa zipo Dar
Radio zote kubwa zipo Dar
Kombe la Dunia liliishia Dar
Mtaa wa Rooney upo Dar
Uwanja wa Kimataifa wa Mwl
Nyerere upo Dar
Uwanja Taifa upo Dar
Uwaja wa Uhulu upo Dar
Ukumbi mkubwa wa Dar Live upo Dar
Wasanii wote wakubwa wapo Dar
*Daraja zuri na lakuvutia la Mwl
Nyerere lipo Dar*
Singeli zipo Dar
Vigodoro vipo Dar
Ndondo Cup ipo Dar
Aliyemkumbatia Rooney yupo Dar
Aliyemkumbatia Kaka wa Brazil yupo
Dar
Michael Jackson aliishia Dar
Obama aliishia Dar
Makilikili yaliishia Dar
Endeleeni kukaa huko huko Mikoani
mkitoa funza Miguuuni
, *Vitu vizuri tunaanza kula sisi
kisha makombo yanapelekwa
Mkoani*
Kama nawaona vile mnataka
kutokwa povu"!! Hahahahaa
Usisahau na bashite yupo dar[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
the great
aseeehBangi
the great
Uko vizuri sana mkuu...tudumishe utamaduni wetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupo wengi mkuu. Mimi nimeshazowea asubuhi nagonga nguna, mchana muhogo wa nazi kwa samaki, jioni nguna. Nina mwaka wa 30 sijawahi kunywa chai sijui na vichapati vya mia tano sijui.
wapi nyie wa chipsi yaiChakula chetu
the great
Napata news zaidi ya zinazotangazwa redioni na tv, na sio kuringia magorofa ya matajiri meanwhile napanda daladala kama wa mkoa, see the difference?Umeingiza sh ngap kuwa jf
the great
Huku mkoa tunapiga, tena dona sio sembePiga asubuhi ugali
the great
Majike dume yapo darPia dar kuna wanaume wa dar[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
the great
Kipindu pindu Mara kwa Mara kipo dar .Le profesa yupo dar
the great
buku mbili tu wazungu hao.....Na Dada poa wengi wako dar
the great
BASI DAAAAAAAAAAAAHUtafiti ulifanyika dar
the great