Kudhibiti Kisukari, nidawa kwa aliye vimbiwa, Kuipa ngozi afya, kuboresha mzunguko wa damu katika kichwa, husaidia ukuaji wa nywele, tunapata vitamini K na madini ya chuma, kinga dhidi ya bacteria, nikinga nzuri sana kwa mama na mtoto wakati wa ujauzito, husaidia katika mzunguko mzuri wa oxygen mwilini, huondoa msongo na wasiwasi pia huzuni, kuvunjavunja mawe kwenye figo. Nivyema kula madafu kwani yanafaida kedekede.