Faida ya mawakala wa Mitandao ya simu inapatikanaje?

Windson

Senior Member
Joined
Jan 5, 2019
Posts
193
Reaction score
397
Wakuu, husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kufahamu hawa mawakala wetu wa Tigopesa, M-Pesa, Airtel money, wanapata vipi faida?

Na process za kujiunga kuwa wakala zipoje?

Sent from my SM-A127F using Furaha ya kikatoliki
 
Wakuu, husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kufahamu hawa mawakala wetu wa Tigopesa, M-Pesa, Airtel money, wanapata vipi faida?

Na process za kujiunga kuwa wakala zipoje?

Sent from my SM-A127F using Furaha ya kikatoliki
Kuna nyuzi za kutosha tu humu zinazo ongelea hayo masuala ya uwakala wa mitandao ya simu, na pia ile ya kibenki.

Kiufupi mawakala hupata faida kupitia commission inayopatikana kila mwanzo wa mwezi, na hiyo ni baada ya kuzungusha mtaji ulionao kwa mwezi mzima. Ukifanya miamala mingi ya kuweka na kutoa, na commission inakuwa kubwa zaidi ya yule alifanya miamala michache.

Kuongezeka kwa tozo, uwepo wa Matapeli, vibaka, na majambazi; ndiyo changamoto kubwa ya hii biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…