Faida ya maziwa mgando mwilini

Faida ya maziwa mgando mwilini

allina

Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
76
Reaction score
13
Hivi kuna chakula gani kipo ndani ya maziwa mgando(mtindi) na nini faida yake mwilini?
 
km ni she, ni mazur coz yana bacteria wazur wanaodaidia kumaintain mazingira ya uke. na wale wagonjwa wa hepatitis b ni mazur kwao kupunguza makali y ugonjwa
 
Back
Top Bottom