BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Faida ya Tanzania kushiriki katika maonyesho makubwa ya Dunia ya 'Dubai Expo 2020'. Kesho Jumamosi ndo siku yetu Tanzania na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza tukio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu kubwa ni kufungua fursa nothing else,na Kuna spesho day kwa Tzn.
View attachment 2130807
View attachment 2130808
View attachment 2130809
View attachment 2130810
View attachment 2130811
View attachment 2130812
View attachment 2130813
Wewe nae ni pimbi tuu wa huko ufipa.Huu utapeli wao kijinga wa ccm utaisha lini, kuna wakati alikuja George bush na Obama porojo zalikuwa zaidi ya hizi. Muwekezaji gani serous atakuja kwenye nchi ambayo sheria zanababilikabadilika kutokana na tabia binafsi za rais?
Wewe nae ni pimbi tuu wa huko ufipa.
Wakati wa Bush na Obama Tzn ndio ilikuwa mnufaika mkubwa wa pesa kuliko Nchi zote za Africa via MCC na Pepfar..
Faida mojawapo ni hizi hapa 👇
View attachment 2131085