Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
MATUFAA KWA AFYA,LISHE NA TIBA
"An apple a day will keep the doctor away An apple before bed makes the doctor beg his bread"
(kula tunda moja la tufaa kila siku humfanya mtu asiwe na haja ya kuonana na daktari kula tunda la tufaa kila siku
humkosesha daktari mapato yake). Misemo hii ya Waingereza inaonyesha umuhimu wa matunda ya matufaa
kwa ajili ya kudumisha afya ya binadamu, kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali. Matufaa yana Vitamini K,
nyuzinyuzi za chakula pamoja na dawa-lishe (phytochemicals) aina ya quercetin flavonoid.
Faida za kiafya
Matufaa ni tiba nzuri ya ugonjwa wa kuharisha.
Husaidia katika matibabu ya uvimbejoto wa utumbo (colitis)
Husaidia katika matibabu na kuzuia shinikizo la damu
Husaidia katika tiba na kuzuia magonjwa ya mzio (allergy) pamoja na pumu ya mapafu.
Hutibu tatizo la kupata choo kikavu au kutokupata choo (constipation)
Ni dawa nzuri sana kwa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.
Husaidia katika matibabu na kuzuia mawe katika figo.
Hupunguza hatari ya kupata saratani ya mapafu, saratani ya utumbo na ugonjwa wa kisukari.
Huimarisha afya ya ini.
Husaidia figo kuondosha sumu aina ya uric acid ndani ya damu.
Matumizi na kipimo
Kwa ajili ya tiba kula matufaa kiasi cha kilo mbili kila siku kwa muda wa siku saba mfululizo.
Kunywa juisi ya matufaa bilauli moja kila baada ya saa nane kila siku.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu