Faida ya unywaji wa vodka au bia

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
729
Reaction score
555
WAKUU unywaji bia au vodka una faida gani ZA kiafya katika mwili wa binadamu?
 
Kunywa uexprience maana ina react kutokana na kila muhusika anayekunywa ukizingatia umri,,afya ya mnywaji,,maadili ya makuzi yako( Dini),,
 
Faida nazozijua mimi ni mbili tu 1. Kupunguza msongo wa mawazo 2.kuchelewa zaidi kumaliza wakati wa tendo la ndoa
 
Inakutoa akili yako asili inakupa akili nyingine.
 
Acha maswali ya kijinga kuhusu bia wewe
 
1. Kuimpruvu katika kuongea lugha za kigeni hasa kiingereza
2. Kufuta kabisa misongo ya mawazo.
3. Kuleta hamu ya kula vyakula vyenye nutrients hivyo kupelekea mnywaji kuwa na afya njema muda wote (ndio maana wanywaji huwa hawaumwi hivi vijigonjwa vidogovidogo)
4. Mnywaji huwa mbunifu sana wa kutafuata hela mpaka ipatikane kwa sababu huamka asubuhi mifuko mitupu.
 
Ukinywa vodka 6cc mara tano kwa wiki inapunguza hatari ya kupata ugonjwa wa moyo kwa 33%
Ukizidisha inakuletea ugonjwa wa moyo

source;www.web med.com
 

Mkuu kuwa serious basi
 
unapata chooo laini, yaani una puu bila kujikamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…