Oyaaa mbona unaeka sehemu ambayo sio??halafu leo umeamkia mambo ya bikra bikra tu vipi mwenzetu? uko poa kweli leo ama???????
I think he is right ...alipokosea ni jukwaaa tu la kuweka hiyo kitu. Bw.Gambler hii mada muhimu, ila hamna atakayeipenda manake hicho kitu kiko extinct...yani kwa hao wachangiaji wenyewe hawana bikra(ladies) na hao wanaume wengi wao wanazisikia tu kwenye bomba..so ukiwauliza umuhimu wake either hawajui au wataona unawazingua manake walishazitekeza darasa la nne, tano flani...sorrythis guy is obseesed with the so called bikras
this guy is obseesed with the so called bikras
this guy is obseesed with the so called bikras
Bana hii mada hapa sio pake hata hivyo let me be honest---bikira ya ukweli ni very boring!!!nimezitungua kama tatu hivi za ukweli, na moja ipo njiani kutunguliwa!!! hazina flavor kabisa! sijui midume wanapendea nini bikra!!tena bikra yenyewe ikiwa below 17, ndo taabu tupu, labda uwe katili kama chinjachinja! Banaa e, pata kitu used lakini isiwe imechoshwa hapo ndo uta-enjoy! Mi bana sizipendagi sema tu nakumbana nazo eksidentale! binadamu unakuta anajinyonga utafikiri samaki baharini?! hamna flavor kabisa!! bye the way, nahisi kuna hasara!! unajua nini? demu mpaka unamtoa bikira, jua kuna mijamaa kibao imemsarandia sema ww ukawzidi kete!!! usizani kwamba wote hao hawapendi, waalaa!!! kwavile alikuwa hajajaribu, alikuwa anaogopa-real bikra inauma bwanaa!!sasa ww ukishamtoa na baada ya muda akapata uzoefu, haki ya mungu tena kuna hatari akampa na mwingine kati ya wale waliokuwa wanamsumbua!!! Aogope nini wakati keshajua? Kalagha bao mazei, chukua ki2 used kinachoweza kubana mapaja, ni full mastarehe kuliko bikra!!!Kwa upande wetu sisi waafrika,watu wa mwambao ndio mara nyingi wamekuwa wakitunza bikra zao, na wamekua na huu utamaduni.Nchi za kiarabu zilizo katika bara la Afrika, Arabuni na nchi zote za kihindi.Mwanamke Bikra amekuwa akithaminiwa sana. Katika nchi hizo wako serious sana na issue ya mwanamke kuwa bikra, mpaka inafika wakati wa harusi, mwanamme akigundua mwanamke aliyeoa si bikra, anadai arudishiwe mahari yake na aibu kubwa inawafika upande wa mke.Wana jf, kwa kila anayejua faida au hasara za bikra, achangie hii mada ili tuelimishane...