Faida za kiafya kwa wanawake zitokanazo na kufikishwa kileleni (orgasm)

Faida za kiafya kwa wanawake zitokanazo na kufikishwa kileleni (orgasm)

Son of Gamba

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
4,720
Reaction score
6,957
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke.
Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo.

Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya asikie "raha na utamu" wa ajabu usioelezeka kwa lugha rahisi. Utamu anaopata mwanamke wakati wa ku-orgasm inaaminika ni zaidi ya mara 7 ya utamu tunaopata sisi Wanaume wakati tunapomwaga shahawa. Baadhi ya Wanawake wengine huwa wanazimia kabisa kwa utamu huo.

Hizi hormones zikiachiliwa mwilini, baada ya orgasm huwa zinaendelea kuwa kwenye mzunguko wa damu kwa muda na kumfanya mwanamke kuwa na furaha wakati wote, macho yake yanakuwa angavu na hata ngozi yake ya mwili inakuwa na mvuto zaidi, inakuwa na mng'ao fulani hivi wa asili. Na hata anapolala huwa anapata usingizi mnono.

Hizi hormones (dopamine na oxytocin) zina nguvu sana mwilini, humfanya mwanamke akupende sana wewe mwanaume uliyemfikisha kileleni. Akisikia harufu yako au akisikia sauti yako tu, uke huanza kuloana (she gets wet) hata kama uko mbali.

1719495010689.jpg

Ukimfikisha kileleni, unabaki kwenye akili yake, unamvuruga in a good way. Unamfanya awe na "wivu" juu yako mara elfu. Hata akikuona tu unasalimiana na mwanamke mwingine, moyo wake unapasuka!

Hormones hizi (dopamine na oxytocin) huwa zinafanya kazi nyingine ya kushusha au kuondoa hormone inayosababisha "msongo wa mawazo" (stress) inayojulikana kama "cortisol".

Ndiyo maana Wanawake wanaofikishwa kileleni (orgasm) mara kwa mara, huwa ni wenye furaha sana, wana afya nzuri na hawana kabisa msongo wa mawazo. Hii hupelekea hata kuzeeka kwao huja taratibu sana, mara zote utawaona ni kama vijana wa miaka 25.

Kinyume chake sasa, mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa hana furaha, mara zote wanakuwa na mahasira hasira, msongo wa mawazo na hii hupelekea magonjwa ya mara kwa mara na kuzeeka kwa haraka.

Tendo la ndoa lenye "tija" ni tiba muhimu sana kwa mwanamke. Tendo la ndoa lisilokuwa na "tija" ni hasara kwa afya ya mwanamke.

ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.
 
Unaongeleaje kuhusu wanawake ambao hata iweje hawafikagi kileleni..

Unaongeleaje pia wanawake wa mkoa mmoja hivi ambao wao kufika kileleni ni godoro chapachapa..

au ndo tuseme kupiz kulianziaga huko kwao?
 
Hii kitaalamu inaitwa anorgasmia, mara nyingi huwatokea wale wadada ambao waliwahi kupitia mitikisiko au misukosiko mikubwa kwenye maisha yao ya nyuma. Japo pia zipo sababu nyingine nyingi zinazozalisha tatizo husika na wanashauriwa wafanye masterbation at least wanaweza kufika.
Unaongeleaje kuhusu wanawake ambao hata iweje hawafikagi kileleni..

Unaongeleaje pia wanawake wa mkoa mmoja hivi ambao wao kufika kileleni ni godoro chapachapa..

au ndo tuseme kupiz kulianziaga huko kwao?
 
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke.
Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo.

Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya asikie "raha na utamu" wa ajabu usioelezeka kwa lugha rahisi. Utamu anaopata mwanamke wakati wa ku-orgasm inaaminika ni zaidi ya mara 7 ya utamu tunaopata sisi Wanaume wakati tunapomwaga shahawa. Baadhi ya Wanawake wengine huwa wanazimia kabisa kwa utamu huo.

Hizi hormones zikiachiliwa mwilini, baada ya orgasm huwa zinaendelea kuwa kwenye mzunguko wa damu kwa muda na kumfanya mwanamke kuwa na furaha wakati wote, macho yake yanakuwa angavu na hata ngozi yake ya mwili inakuwa na mvuto zaidi, inakuwa na mng'ao fulani hivi wa asili. Na hata anapolala huwa anapata usingizi mnono.

Hizi hormones (dopamine na oxytocin) zina nguvu sana mwilini, humfanya mwanamke akupende sana wewe mwanaume uliyemfikisha kileleni. Akisikia harufu yako au akisikia sauti yako tu, uke huanza kuloana (she gets wet) hata kama uko mbali.

View attachment 3027550
Ukimfikisha kileleni, unabaki kwenye akili yake, unamvuruga in a good way. Unamfanya awe na "wivu" juu yako mara elfu. Hata akikuona tu unasalimiana na mwanamke mwingine, moyo wake unapasuka!

Hormones hizi (dopamine na oxytocin) huwa zinafanya kazi nyingine ya kushusha au kuondoa hormone inayosababisha "msongo wa mawazo" (stress) inayojulikana kama "cortisol".

Ndiyo maana Wanawake wanaofikishwa kileleni (orgasm) mara kwa mara, huwa ni wenye furaha sana, wana afya nzuri na hawana kabisa msongo wa mawazo. Hii hupelekea hata kuzeeka kwao huja taratibu sana, mara zote utawaona ni kama vijana wa miaka 25.

Kinyume chake sasa, mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa hana furaha, mara zote wanakuwa na mahasira hasira, msongo wa mawazo na hii hupelekea magonjwa ya mara kwa mara na kuzeeka kwa haraka.

Tendo la ndoa lenye "tija" ni tiba muhimu sana kwa mwanamke. Tendo la ndoa lisilokuwa na "tija" ni hasara kwa afya ya mwanamke.

ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.
Uh, such a lovely sad story
 
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke.
Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo.

Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya asikie "raha na utamu" wa ajabu usioelezeka kwa lugha rahisi. Utamu anaopata mwanamke wakati wa ku-orgasm inaaminika ni zaidi ya mara 7 ya utamu tunaopata sisi Wanaume wakati tunapomwaga shahawa. Baadhi ya Wanawake wengine huwa wanazimia kabisa kwa utamu huo.

Hizi hormones zikiachiliwa mwilini, baada ya orgasm huwa zinaendelea kuwa kwenye mzunguko wa damu kwa muda na kumfanya mwanamke kuwa na furaha wakati wote, macho yake yanakuwa angavu na hata ngozi yake ya mwili inakuwa na mvuto zaidi, inakuwa na mng'ao fulani hivi wa asili. Na hata anapolala huwa anapata usingizi mnono.

Hizi hormones (dopamine na oxytocin) zina nguvu sana mwilini, humfanya mwanamke akupende sana wewe mwanaume uliyemfikisha kileleni. Akisikia harufu yako au akisikia sauti yako tu, uke huanza kuloana (she gets wet) hata kama uko mbali.

View attachment 3027550
Ukimfikisha kileleni, unabaki kwenye akili yake, unamvuruga in a good way. Unamfanya awe na "wivu" juu yako mara elfu. Hata akikuona tu unasalimiana na mwanamke mwingine, moyo wake unapasuka!

Hormones hizi (dopamine na oxytocin) huwa zinafanya kazi nyingine ya kushusha au kuondoa hormone inayosababisha "msongo wa mawazo" (stress) inayojulikana kama "cortisol".

Ndiyo maana Wanawake wanaofikishwa kileleni (orgasm) mara kwa mara, huwa ni wenye furaha sana, wana afya nzuri na hawana kabisa msongo wa mawazo. Hii hupelekea hata kuzeeka kwao huja taratibu sana, mara zote utawaona ni kama vijana wa miaka 25.

Kinyume chake sasa, mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa hana furaha, mara zote wanakuwa na mahasira hasira, msongo wa mawazo na hii hupelekea magonjwa ya mara kwa mara na kuzeeka kwa haraka.

Tendo la ndoa lenye "tija" ni tiba muhimu sana kwa mwanamke. Tendo la ndoa lisilokuwa na "tija" ni hasara kwa afya ya mwanamke.

ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.
is it scientifically proven?
Je, kuna imani fulani wamekataza watumishi wao kuolewa, je hao watumishi nao wana stress kwa kukosa sex?
 
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke.
Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo.

Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya asikie "raha na utamu" wa ajabu usioelezeka kwa lugha rahisi. Utamu anaopata mwanamke wakati wa ku-orgasm inaaminika ni zaidi ya mara 7 ya utamu tunaopata sisi Wanaume wakati tunapomwaga shahawa. Baadhi ya Wanawake wengine huwa wanazimia kabisa kwa utamu huo.

Hizi hormones zikiachiliwa mwilini, baada ya orgasm huwa zinaendelea kuwa kwenye mzunguko wa damu kwa muda na kumfanya mwanamke kuwa na furaha wakati wote, macho yake yanakuwa angavu na hata ngozi yake ya mwili inakuwa na mvuto zaidi, inakuwa na mng'ao fulani hivi wa asili. Na hata anapolala huwa anapata usingizi mnono.

Hizi hormones (dopamine na oxytocin) zina nguvu sana mwilini, humfanya mwanamke akupende sana wewe mwanaume uliyemfikisha kileleni. Akisikia harufu yako au akisikia sauti yako tu, uke huanza kuloana (she gets wet) hata kama uko mbali.

View attachment 3027550
Ukimfikisha kileleni, unabaki kwenye akili yake, unamvuruga in a good way. Unamfanya awe na "wivu" juu yako mara elfu. Hata akikuona tu unasalimiana na mwanamke mwingine, moyo wake unapasuka!

Hormones hizi (dopamine na oxytocin) huwa zinafanya kazi nyingine ya kushusha au kuondoa hormone inayosababisha "msongo wa mawazo" (stress) inayojulikana kama "cortisol".

Ndiyo maana Wanawake wanaofikishwa kileleni (orgasm) mara kwa mara, huwa ni wenye furaha sana, wana afya nzuri na hawana kabisa msongo wa mawazo. Hii hupelekea hata kuzeeka kwao huja taratibu sana, mara zote utawaona ni kama vijana wa miaka 25.

Kinyume chake sasa, mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa hana furaha, mara zote wanakuwa na mahasira hasira, msongo wa mawazo na hii hupelekea magonjwa ya mara kwa mara na kuzeeka kwa haraka.

Tendo la ndoa lenye "tija" ni tiba muhimu sana kwa mwanamke. Tendo la ndoa lisilokuwa na "tija" ni hasara kwa afya ya mwanamke.

ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.
Ungekuwa mwanamke ungeeleweka vizuri ila kwakuwa wewe ni mwanamme basi hayo maelezo yako ni kama "nadhania".

Kusema kwamba m/ke anapata raha mara 7 ya m/me ,uta prove vipi? Hakuna mwanamke aliyewahi kuwa mwanamme na hakuna mwanamme aliyewahi kuwa mwanamke ukiachana na trans-gender ambao si natural.

Mwanamme atajuaje raha anayopata mwanamke au mwanamke atajuaje raha anayopata mwanamme na kuanza kufanya comaprison?
 
Unaongeleaje kuhusu wanawake ambao hata iweje hawafikagi kileleni..

Unaongeleaje pia wanawake wa mkoa mmoja hivi ambao wao kufika kileleni ni godoro chapachapa..

au ndo tuseme kupiz kulianziaga huko kwao?
Hao wagodoro chapa-chapa ni wambulu?
Tusaidiane hapa.
Sina ukabila maana hata polisi ukiingizwa unaulizwa kabila.
 
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke.
Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo.

Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya asikie "raha na utamu" wa ajabu usioelezeka kwa lugha rahisi. Utamu anaopata mwanamke wakati wa ku-orgasm inaaminika ni zaidi ya mara 7 ya utamu tunaopata sisi Wanaume wakati tunapomwaga shahawa. Baadhi ya Wanawake wengine huwa wanazimia kabisa kwa utamu huo.

Hizi hormones zikiachiliwa mwilini, baada ya orgasm huwa zinaendelea kuwa kwenye mzunguko wa damu kwa muda na kumfanya mwanamke kuwa na furaha wakati wote, macho yake yanakuwa angavu na hata ngozi yake ya mwili inakuwa na mvuto zaidi, inakuwa na mng'ao fulani hivi wa asili. Na hata anapolala huwa anapata usingizi mnono.

Hizi hormones (dopamine na oxytocin) zina nguvu sana mwilini, humfanya mwanamke akupende sana wewe mwanaume uliyemfikisha kileleni. Akisikia harufu yako au akisikia sauti yako tu, uke huanza kuloana (she gets wet) hata kama uko mbali.

View attachment 3027550
Ukimfikisha kileleni, unabaki kwenye akili yake, unamvuruga in a good way. Unamfanya awe na "wivu" juu yako mara elfu. Hata akikuona tu unasalimiana na mwanamke mwingine, moyo wake unapasuka!

Hormones hizi (dopamine na oxytocin) huwa zinafanya kazi nyingine ya kushusha au kuondoa hormone inayosababisha "msongo wa mawazo" (stress) inayojulikana kama "cortisol".

Ndiyo maana Wanawake wanaofikishwa kileleni (orgasm) mara kwa mara, huwa ni wenye furaha sana, wana afya nzuri na hawana kabisa msongo wa mawazo. Hii hupelekea hata kuzeeka kwao huja taratibu sana, mara zote utawaona ni kama vijana wa miaka 25.

Kinyume chake sasa, mwanamke asiyefikishwa kileleni huwa hana furaha, mara zote wanakuwa na mahasira hasira, msongo wa mawazo na hii hupelekea magonjwa ya mara kwa mara na kuzeeka kwa haraka.

Tendo la ndoa lenye "tija" ni tiba muhimu sana kwa mwanamke. Tendo la ndoa lisilokuwa na "tija" ni hasara kwa afya ya mwanamke.

ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.
Umefanua vizuri sana excellent! Ila kuliita tendo la ndoa hapo ndio naona umetupiga na kitu kizito.
 
ANGALIZO
Tendo la ndoa ni tendo "takatifu" liliobarikiwa na MUNGU. Tendo hilo ni kwa ajili ya "wanandoa" tu basi.📌📌📌
 
Ungekuwa mwanamke ungeeleweka vizuri ila kwakuwa wewe ni mwanamme basi hayo maelezo yako ni kama "nadhania".

Kusema kwamba m/ke anapata raha mara 7 ya m/me ,uta prove vipi? Hakuna mwanamke aliyewahi kuwa mwanamme na hakuna mwanamme aliyewahi kuwa mwanamke ukiachana na trans-gender ambao si natural.

Mwanamme atajuaje raha anayopata mwanamke au mwanamke atajuaje raha anayopata mwanamme na kuanza kufanya comaprison?
Kusema n mara Saba hapo natia shaka ila ni ukweli ulio wazi kua wao wanafurahia zaidi yetu tena zaidi sana, Kuna nyakati anaweza kukuambia nilikua najikia kufakufa hivi kwa Raha, Kuna wakati ankubana kama umebanwa na vaisi hivi Hadi kung'ata Yani hatari sana. Kwakutuzidi wantuzidi hakuna ubishi
 
Kusema n mara Saba hapo natia shaka ila ni ukweli ulio wazi kua wao wanafurahia zaidi yetu tena zaidi sana, Kuna nyakati anaweza kukuambia nilikua najikia kufakufa hivi kwa Raha, Kuna wakati ankubana kama umebanwa na vaisi hivi Hadi kung'ata Yani hatari sana. Kwakutuzidi wantuzidi hakuna ubishi

Aiseeee unathibitisha vipi kama wanazidi? Unaweza kuthibitisha Juice ya Muwa na Asali ipi tamu kwasababu tu unaweza kufanya comparison ,hayo uliyoyatoa ni mtizamo wako kutoka kwa ulivyoona na ulivyoadithiwa na wewe ukajijengea picha what if alikuwa anafanya "ACTION" maigizo? Haujui kwamba hao watu ni mabwingwa wa kufake ili akuchomoe "ANKARA"?
 
Itabidi watulipe, maana huwa wanavibrate utafikiri nokia 3310, jicho kiini cheupe kinapotea, wengine wanakukwida roba la mbao. 😂🤣
 
Back
Top Bottom