Faida za komamanga,redwine,zabibu na matunda ya berry kwa afya ya kiume na ya kike

Faida za komamanga,redwine,zabibu na matunda ya berry kwa afya ya kiume na ya kike

Adorah

Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
18
Reaction score
12
Zifahamu faida za:-


  • Pomegranate(komamanga)
-ina antioxidant inayosaidia kupendezesha ngozi na kuifanya ionekane ya kijana.
-Husaidia mwili kuondosha sumu na uchafu utokanao na kemikali na mabaki ya chakula mwilini.sumu hizo ambazo huwa ni chanzo cha magonjwa mengi mwilini kama cancer.

  • Redwine extract(chembechembe ya mvinyo mwekundu)
-inasaidia kupunguza mafuta mwilini
-Ina anti-oxidant zinazosaidia kupunguza kasi ya uzee.
-Anti-oxidant hizi pia zinasaidia kuukinga mwili dhidi ya cancer.

  • Grape skin(ngozi ya mazabibu)-inasaidia afya ya moyo,skin softener,anti-ageing benefits(kupunguza kasi ya uzee),inaleta mng'ao wa asili wa ngozi.
  • Berry extracts(chembechembe za matunda ya berry)-kusaidia mfumo wa kusaga chakula na kuongeza Immunity.
Matunda haya yakichanganywa na L-Arginine inasaidia BP,kupendezesha ngozi,kuimarisha misuli,kuongeza nguvu za kiume na matokeo yote kama ilivyotajwa hapo juu.

Kwa kujali afya ni vizuri kutumia natural juice ya unga iliyochanganywa na vitu tajwa hapo juu(pomegranate,redwine extract,grape skin,berry extracts na L-Arginine)ambavyo vyote ni vitu asilia, kila siku ili kuleta matokeo mazuri .Kwa vijana,mama,baba na wazee wote wanashauriwa kutumia.Unashauriwa kutumia hii juice pamoja na virutubisho vingine kutegemea na matokeo unayotaka.Package nzuri kwaajili ya kusaidia makundi ya watu wafuatao:-

*Wanaotaka kusafisha & kupendezesha ngozi zao,wanaofanya mazoezi(vyuma,riadha,models,wacheza mpira.nk),wanaotaka kupunguza kasi ya uzee,BP,kusaidia watu wenye kisukari,kusaidia nguvu za kiume,kuimarisha misuli,afya ya moyo,wenye cancer

*Vijana,mama,baba,wazee.
*Mtu yeyote anaejipenda na ana uwezo wa kumudu gharama za vitu vya asili.

Unaweza kunitumia message(PM) kama unahitaji package iliyoelezewa hapo juu pamoja na ushauri wa bure.No side effects.Bidhaa zina guarantee ya siku 30.
 
Hapo kwenye "Red Wine Extract" una maanisha ni hizi Red Wine za madukani? Au kuna nyingine?

Hiyo Extract imenichanganya.
 
Dah.... Safiiii
....Utuongezee na afya ya ubongo....[emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom