Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
mwehu achana nae huyo mpaka aingie n kutoka mirembe ndio attachaJamani nimeona niweke hapa jukwaa la malavidavi maana inanisumbua sana hii kitu, kuna jamaa angu, ameoa na watoto na mke wake ni mzuri tu, huyu bwana anawajua wanawake wote maumbile yao maana ni mchunguliaji mtaalamu sana, najiuliza anapata faida gani huyu jamaa? Kwani hatosheki na mke wake? Nilimuuliza akaniambia we acha tu, ni ugonjwa ndugu yangu, siwezi acha...Jamani je nani amewahi sikia huu ugonjwa?
Anajua maumbo ya wanawake wote???Mbona langu halijuii???
Nwy mwambie aache kabla hajatobolewa macho!!!
hajafumaniwa huyo, akifumaniwa mwenyewe ataacha. Waswahili wanapiga kuliko FFU
Hivi kumbe nao ni ugonjwa!!siungemshauri mkaenda hospitali?
mwehu achana nae huyo mpaka aingie n kutoka mirembe ndio attacha
Lizzy anakuonea aibu kukutangaza ila kama unamualika haya bana.
Anajua maumbo ya wanawake wote???Mbona langu halijuii???
Nwy mwambie aache kabla hajatobolewa macho!!!
:evil: mind!
Lizzy anakuonea aibu kukutangaza ila kama unamualika haya bana.
Lizy wewe? jamaa ni noma, wewe huenda alisha kuona beach...maana beach hakosi weekend, kama unapendelea beach mhh 60% anakujua...Anasema haachi kamwe maana amekuwa CHUNGULIAHOLIC huyu...
Lizy wewe? jamaa ni noma, wewe huenda alisha kuona beach...maana beach hakosi weekend, kama unapendelea beach mhh 60% anakujua...Anasema haachi kamwe maana amekuwa CHUNGULIAHOLIC huyu...
Lizzy acha kujitetea dada angu, huenda katika list ndefu ya waliochunguliwa na wewe umo, utajijuaje?
Mwache tu Lizzy naona anatuma invitation...haya usije ingia 18 zake.....
mmmmmhhhhh
Mwili wa kuvaa bikini sina beach nikafanye nini mie???
Huku Ungalimited ukikutwa hata umesimama tu ukaegemea ukuta wa mtu una kesi ya wizi...achili mbali kupiga chabo!!Mpaka hapo naamini hajapata hiyo nafasi!!
Heheheheh......kama anaweza aje....mi hata nikioga naingia na bisibisi!!!