faida za kuchungulia na hasara zake...

Bisibisi kwani anakuja kukubaka? yeye hana nia ya kubaka ni fahari ya macho tu, sasa bisibisi utamchoma wapi wakati anakula mingo? Jamaa huenda ana darubini kali so from far anakula deo tu...haya mpe adress uone kazi yake....

Mwanzo nlikwambia atatobolewa macho....hayo ndo ntakayoyatafuta!!!

Hehehehe adress mwambie aje Ungalimited....kama anatokea Sinoni avuke tu mto mi nakaa nyumba ya kwanza toka mtoni!!!
 
Mwanzo nlikwambia atatobolewa macho....hayo ndo ntakayoyatafuta!!!

Hehehehe adress mwambie aje Ungalimited....kama anatokea Sinoni avuke tu mto mi nakaa nyumba ya kwanza toka mtoni!!!

Wewe mbona kwa list yake upo tayari? alishakuchabo zamani wakati unaoga mtoni....Atakuja tena kufanya Remix upo?
 
Mwanzo nlikwambia atatobolewa macho....hayo ndo ntakayoyatafuta!!!

Hehehehe adress mwambie aje Ungalimited....kama anatokea Sinoni avuke tu mto mi nakaa nyumba ya kwanza toka mtoni!!!

halafu lizzy kwa kuzuga eti huna shape ya BIKINI hapo kwa avatar tu inakuprove wrong...najua hujaiweka hiyo avatar kimakosa, back naona bonge la COCO BEACH kama sio ile ya wahindi inayochoma watu mioto huko KIGAMBONI...
 
Mbona dawa ya chabo ni Chelewa,ata akiwa nakadistance lazima augulie maumivu.
 
Wewe mbona kwa list yake upo tayari? alishakuchabo zamani wakati unaoga mtoni....Atakuja tena kufanya Remix upo?
Hahahahah....angekua ameniona mbona angeshapofuka!!!
halafu lizzy kwa kuzuga eti huna shape ya BIKINI hapo kwa avatar tu inakuprove wrong...najua hujaiweka hiyo avatar kimakosa, back naona bonge la COCO BEACH kama sio ile ya wahindi inayochoma watu mioto huko KIGAMBONI...
Mhhh siunajua tena mambo ya kutamani!!Kama siwezi kuwa na kiwili wili cha hivyo mtaani angalau kwenye picha basi!!!

Chelewa linakuwaje mzee tupe details kidogo and how?
We nawe...huna imagination kabisa???Atatobolewa macho na chelewa!!
 
Hahahahah....angekua ameniona mbona angeshapofuka!!!
Mhhh siunajua tena mambo ya kutamani!!Kama siwezi kuwa na kiwili wili cha hivyo mtaani angalau kwenye picha basi!!!


We nawe...huna imagination kabisa???Atatobolewa macho na chelewa!!


hahahaha duh huyu jamaa kumbe ana hatari na macho kupotea eeehhh....watu watafagia face yake tena?
 
huyo ukimchunguza utakuta ni corporate customer wa masterbation,Akitoka hapo kwenye chabo lazima kwanza akajishuhulishe bafuni,na ukimfuatilia kwa makini utakuta mikanda yote ya xxx ameshamaliza sasa anataka kuona viwili wili live and direct...kwa kweli amehathirika kisailogia na amini usiamini raha anayopata wakati anakuchungulia ni kubwa kuliko hata ukimkaribisha akuangalie kabisa face to face,au ukampa kabisa zawadi ya ushindi...
 
mi huwa nasikia hili neno chabo! sijawahi mshuhudia mpiga chabo, je utamujuaje
 

hahahaa unaingia na bisbisi inaelekea bafu la passport size na ni tandale uswaziiii
 
jamaaa chizi tu sio ugonjwa wala nn bado hajapata kichapo
 
Anajua maumbo ya wanawake wote???Mbona langu halijuii???
Nwy mwambie aache kabla hajatobolewa macho!!!
Tuhakikishie kwamba hajawahi kuyaona ... maana ni kama vile unamfahamu.
 
Duuuuh hiyo kali!!!
 
Hahahahahaaaa!!ndugu umenifurahisha sana halafu usikute anawaogopa maduu ile mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…