Thanks mkuu lakini inawezekana sera za nchi zao zipo vizuri kwa nchi yetu kodi zipo juu sanaa unajikuta unafanyia kodi unapitwa mapato na machinga. All in all nitapambana tuu kitaelewekaKumbuka microsoft,Apple,google inc.,facebook e.t.c zote hizi ni kampuni!!...Ukiwaza mambo ya gharama utabakia hapohapo!!.....business is all about taking risks!!.....Take risk now!!
Hizo ulizotaja hazihusiani na kampuni bali biashara utakayofanya bila kujali ni mfumo upi unatumia kumiliki hiyo biashara. Kampuni hasara yake inategemea ni kampuni ipi kati ya Private na Public. Private ina faida dhidi ya public kwa biashara ndogo kwani haina paper work nyingi na pia haina followups kama za public. Hasara ya kampuni dhidi ya sole propriator ni gharama za ukaguzi na kusajili. Faida yake dhidi ya sole propriator ni kwamba kodi hulipwa kutoka kwenye faida kwa 30% wakati solepropriator unakadiriwa kwa hiyo hata kama umepata hasara mwaka huo kodi ni ya lazima. Faida nyingine ya kampuni ni ulinzi wa mali za wamiliki - wenye hiza tofauti na biashara binafsi ikidaiwa, mali za mmiliki kama nyumba itauzwa tu ili kulipa deni. Kampuni ina faida zingine lukuki tofauti na biashara binafsiImani iwe kwenu wana Jamvi.
Kama heading ilivo naomba kujuzwa faida ama hasara za kuendesha biashara kama kampuni mana nimefuatilia nimeona kuna utitiri wa kodi/gharama a uendeshaji kampuni. Mfano Tra Tfda Tbs Nemc n.k kulingana na biashara unayoifanya
Kila sehemu utakayo pita kuna gharama zake na ni za kila mwaka kubwa zaida ni 30% corporate tax ata the end of year
Swali la msingi kulingana na gharama za uendeshaji kampuni. je kati ya kampuni na retail sales kwa wafanyabiashara wadogo ni ipi inalipa zaidi
Nawasilisha
Thanks in advance
Kwa kuongezea kama biashara haitamiliki asset kubwa au kuingia kwenye biashara ya mikataba, sole propriator ni option nzuri japo ya mpito kwani biashara ikfanywa chini ya kampuni iko salama zaidi kuliko hii ya mtu mmojaImani iwe kwenu wana Jamvi.
Kama heading ilivo naomba kujuzwa faida ama hasara za kuendesha biashara kama kampuni mana nimefuatilia nimeona kuna utitiri wa kodi/gharama a uendeshaji kampuni. Mfano Tra Tfda Tbs Nemc n.k kulingana na biashara unayoifanya
Kila sehemu utakayo pita kuna gharama zake na ni za kila mwaka kubwa zaida ni 30% corporate tax ata the end of year
Swali la msingi kulingana na gharama za uendeshaji kampuni. je kati ya kampuni na retail sales kwa wafanyabiashara wadogo ni ipi inalipa zaidi
Nawasilisha
Thanks in advance
Thanks mkuu umeeleza vemaa sanaa. I get the pointHizo ulizotaja hazihusiani na kampuni bali biashara utakayofanya bila kujali ni mfumo upi unatumia kumiliki hiyo biashara. Kampuni hasara yake inategemea ni kampuni ipi kati ya Private na Public. Private ina faida dhidi ya public kwa biashara ndogo kwani haina paper work nyingi na pia haina followups kama za public. Hasara ya kampuni dhidi ya sole propriator ni gharama za ukaguzi na kusajili. Faida yake dhidi ya sole propriator ni kwamba kodi hulipwa kutoka kwenye faida kwa 30% wakati solepropriator unakadiriwa kwa hiyo hata kama umepata hasara mwaka huo kodi ni ya lazima. Faida nyingine ya kampuni ni ulinzi wa mali za wamiliki - wenye hiza tofauti na biashara binafsi ikidaiwa, mali za mmiliki kama nyumba itauzwa tu ili kulipa deni. Kampuni ina faida zingine lukuki tofauti na biashara binafsi
ThanksKama unafikiri kuanzisha biashara ni muhim kujiua biashara ni system na Kuna watu muhim utahitaji kuwa nao.. Na Watu muhim ni mwanasharia, accountant. Pia lazima ujue kuwa kila business Zina sheria zake na zinatofautiana viwango vya kodi.. Business is the system.
Hapo mwisho,, kwani kampuni haiwezi kufanya retail?ushauri huu apa, kama biashara yako inategemea tenda kutoka katika makampuni menginne anzisha kampuni. Ila kama huitaji tenda kutoka kwenye makampuni n bora ufanye retail
kodi zinatafuna sana retail businessHapo mwisho,, kwani kampuni haiwezi kufanya retail?