Faida za kula ndizi mbili kwa siku

amfather93

New Member
Joined
Feb 15, 2018
Posts
1
Reaction score
0
NDIZI ni kati ya matunda yanayopatikana katika maeneo yetu,basi leo nataka nikushirikishe faida kuu utajazopata kwa kula ndizi mbili tu kwa siku:
->Ndizi husaidia kuondoa tatizo la allergy -ndizi ina acidi za amino ambazo husaidia kupunguza matatizo ya allergy.
->Ndizi huongeza nishati -ndizi zimeundwa na sukari kama fructose,sucrose na glucose ambazo husaidia kuupatia mwili nishati yaani nguvu.
->Ndizi husaidia kutibu kuhara -ndizi hutumika katika kutibu kuhara kwa kusawazisha njia ya mmeng'enyo wa chakula.
->Ndizi husaidia kuondoa uchovu -mchanganyo wa ndizi asali na maziwa husaidia kuondoa uchovu,husawazisha njia ya mmeng'enyo wa chakula na huongeza maji mwilini.
->Ndizi husaidia kuacha sigara -ndizi ina madini ya magneziamu na potashiamu ambayo husaidia kuondoa nikotini ambayo nisumu inayopatikana kwenye sigara.
->Ndizi huongeza mood -ndizi zina amino acid inayoitwa tryptophan ambayo hutoa hormone inayoitwa serotonin ambayo husaidia kuongeza mudi.
->Huongeza ufanisi wa ubongo -.madini ya potassium yanayopatikana kwenye ndizi husaidia ufanyaji kazi vizuri wa ubongo na kuwa active
->Hutibu upungufu wa damu -ndizi zina madini ya chuma ya kutosha hivyo husaidia kwenye kutibu upungufu wa damu na huongeza damu mwilini.
->Hutibu kuhara damu -juisi ya ndizi husaidia kutibu kuharisha damu kwa watoto.

Kwa tatzo lolote kiafya usisite kuwasiliana nami DM kwa ushauri zaidi#afya#ndizi#health#tanzania
 
UMESAHAHU FAIDA MOJA: INAKATA POMBE KWA MUDA...YAANI HANGOVER...nikaona nazingua kwahiyo huwa najiununulia karafuu ya ths 100. HAPO NIMEPUNGUZA BAJETI (ndizi 2 ni tsh 400) NA PIA NIMEKATA HARUFU YA POMBE WIKI NZIMA.
 
Ndizi pia husaidia katika mambo ya nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…