Faida za kulala uchi

Kuna kipindi nikiwa bado sijahama kwetu nilikuwa nalala hivyo sababu ya joto kuwa kali sana Dar. Ila baada ya miaka kadhaa nilikuja kugundua kumbe kulala vile kunafungulia mlango wa roho zingine kukuingia especially majini mahaba nikaacha kabisa.
 
Hunilazi uchi hata kwa bakora.

Ghafla kutokee moto ujikute upo nje na korodani zinaning'inia.

Hapo achilia mbali vijana wa hovyo, unaweza jikuta unaamka na ute ute makalioni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Faida ingine kubwa sana ya kulala uchi kunasaidia upatwe na mapepo wachafu aka jini mahaba. Ukiwa wewe ni mwanamke utapatwa jini mahaba wa kiume aka pepo mchafu wa kiume. Na ukiwa wewe ni Mwanamume unayependa kulala uchi utapatwa na jini mahaba wa kike aka pepo mchafu wa kike. Na ukisha patwa na huyo pepo mchafu wa kike au wa kiume maisha yako yameharibika. Kama ni mwanamke hutoolewa maisha na kutopata watoto na kuumwa na tumbo haswa wakati wa siku zako za hedhi. kama ni wewe ni Mwanamume utakuwa ni mtu wa mikosi mikosi kuchukiwa na marafiki zako nguvu za kiume zitaondoka ukilala usiku unamgegeduwa jini mahaba wa kike utashindwa kuoa na utafukuzwa kazi utakuwa ni mtu wa kuchukiwa na kila marafiki zako pesa haikai ukipata pesa shida hiyo inakuja pesa inakwenda zake hizo ndio faida ya mtu kulala uchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…