[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHunilazi uchi hata kwa bakora.
Ghafla kutokee moto ujikute upo nje na korodani zinaning'inia.
Hapo achilia mbali vijana wa hovyo, unaweza jikuta unaamka na ute ute makalioni.
Faida ingine kubwa sana ya kulala uchi kunasaidia upatwe na mapepo wachafu aka jini mahaba. Ukiwa wewe ni mwanamke utapatwa jini mahaba wa kiume aka pepo mchafu wa kiume. Na ukiwa wewe ni Mwanamume unayependa kulala uchi utapatwa na jini mahaba wa kike aka pepo mchafu wa kike. Na ukisha patwa na huyo pepo mchafu wa kike au wa kiume maisha yako yameharibika. Kama ni mwanamke hutoolewa maisha na kutopata watoto na kuumwa na tumbo haswa wakati wa siku zako za hedhi. kama ni wewe ni Mwanamume utakuwa ni mtu wa mikosi mikosi kuchukiwa na marafiki zako nguvu za kiume zitaondoka ukilala usiku unamgegeduwa jini mahaba wa kike utashindwa kuoa na utafukuzwa kazi utakuwa ni mtu wa kuchukiwa na kila marafiki zako pesa haikai ukipata pesa shida hiyo inakuja pesa inakwenda zake hizo ndio faida ya mtu kulala uchi.Kwanini unalala uchi ?
1. Kulala bila nguo kunafanya mwili wako uwe relax pamoja na celi za ngozi kupumua haswa.
2. Kulala uchi kwa asilimia 80% huwa wanawahi kupata usingizi zaidi kwa haraka.
3. Kama unajambo lako la imani, ushirikina ulogi, kulala uchi kunachochea jambo lako kutimizika kwa haraka
4. Kulala uchi kwa baadhi ya watu hupata maluelue, ya ndoto n.k.
5. Mchawi anapologa, hupendelea zaidi watu waliovalia nguo tofauti na mtu yupo uchi sababu kumsafirisha mtu aliyeuchi kichawi ni ngumu kama aliyevalia nguo_sababu kuvua nguo inafanya usionekane kwa urahisi koo yako na ndio sababu mchawi ili usimwone sharti avue nguo na sio vaa nguo.
USSR