Mm nnaekwambia apa nna uhakika 100%
Gongo ziko za aina nyingi mkuu
Nnayoijua mm inatengenezwa kwa sukari& maji & amira
Tena sukari kilo 10.20 mpaka50
Wanakunywa watu wako smart
Hio unayoisema ww ya kwenu uko kitunda.
Zipo nyingi uko masasi iko Nipa inatengenezwa na mabibo ya korosho
Hapa hapa dar iko inaitwa Ukawa inatengenezwa na chemical za kutengenezea konyagi wanacjanganya na maji hio ndo inaua inazorotesha watu haina harufu yoyote inapausha ni kali kupita maelezo afu bei rahisi. Wapiga dili wanapewaga mapipa mazima kutoka kiwandani. Chupa ya lita moja inatengeneza dumu zima afu kali
Mkuu wangu mm izo vitu nazijua since 2000 nna uhakika na nnachokisema 100%
Sent using
Jamii Forums mobile app