Faida za kupitia JKT kwa wahitimu

Wadada waliokuja vyuo mwaka jana niwepesi kweli kuvua vyupi, kupeleleza tukaambiwa wametoka JKT na hako katabia. Ngoja tuone wa mwaka huu.
 
Naona ilikuea njia moja ya kuwapa wajeshi fursa ya kutembea na dada zenu tuu. Maana ilifika hatua dada zenu kufanyiwa hadi vyooni. Au hamkujua hili??? Ukaka mavu hata nyumbani unaweza kuupata ukitaka. Unaweza ukawa umerudi mlokole jina tuu.

vp mkuu dada ako karudi na mimba nin?
 
Haah sasa ndio umeandika kitu gani hapa. Yan labda ungesema inawapatia GPA kubwa chuoni. Ha ha ha kweli kuna watu ni shida tu ndio wamezoea.
Samahan lakn

jkt ni jando
 
Wadada waliokuja vyuo mwaka jana niwepesi kweli kuvua vyupi, kupeleleza tukaambiwa wametoka JKT na hako katabia. Ngoja tuone wa mwaka huu.

kwaio uliwa.g..nga wote dah me mkali mkuu
 
Naona ilikuea njia moja ya kuwapa wajeshi fursa ya kutembea na dada zenu tuu. Maana ilifika hatua dada zenu kufanyiwa hadi vyooni. Au hamkujua hili??? Ukaka mavu hata nyumbani unaweza kuupata ukitaka. Unaweza ukawa umerudi mlokole jina tuu.

hiyo ni tabia ya mtu kama mtu una tabia ya umalaya na watu wana ukame itakuaje, mtu hela ijatoka na vitu vizur unapenda kazi kujipendekeza kwa maafande, sasa wafanyaje???
 
So what?, wameenda wamerudi wachovu tu,afya dhoofu,wametushwa na wanaogopa migomo,matusi yamezidi mitaani,kuna Dada zetu wameharibiwa huko,hizi ni faida au ujinga

jkt kazi tu kunenepa kwenu kuhusu madada ni wao wenyewe kujirahisisha kwa maafande na wenzao ni kesi kama hizi zilikuwa chache mno tokea jkt Oljoro
 
aliepost babake n CO dats haijielew najuta mdogo angu kwenda mtoto wa kike kawa hana haya mitus kwake kawaidah tu ova kabakwa dah

sina hata ndugu wa ndugu yake mjomba aliyeko jeshi, kuhusu mdogo wako ni yeye mwenyewe ndo kaamua atukane na kujitia mgumu ama kuiva wasichana kibao tulikuwa nao na bado wana tabia zao zilezile
 
ebhu taja walau hasara 5

Nitakujibu vizuri endapo utanipa faida tano za kujuwa kutumia silaha zote hizo ulizotaja kwa mwalimu au mwanafunzi wa chuo kikuu. Hii hela iliyotumika kuwapeleka wanafunzi hawa huko je huoni kama ingeweza kurumika katika kuleta faida kubwa zaifi ya hiyo? Hebu tuangalie tena je! Kupelekwa huko jeahini ndio kuwa wazalendo? Hamjaona jeshi likiasi??? Ukakamavu mnaousema pia siuoni kwani wanajeshi wa sasa hawana lolote hata kilometa kadhaa hawapendi kutembea na hata wakiwa na kazi nyingine ni bure tuu. Kama una mtazamo wa kuku kuangalia mwisho unapo kula basi tazama miaka 6 baadae utapata Jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…