Faida za kutoka nje ya ndoa

Faida za kutoka nje ya ndoa

Salimia

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
665
Reaction score
103
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha
 
inafaida na hasara,kwa faida!unaweza pewa vi2 ambavyo kimsingi huvipati ndani,hasara,costful,accessible to deseases
 
Faida: Ni kubadili tu mtu wa kufanya naye ndoa baada ya kushindwa kumtunza vizuri mkeo, hivyo unakuwa humtamani tena, au umemtunza kajinenepea kupita kiasi hata humuelezi namna ya kutunza mwili wake.

Hasara: Kujitafutia magonjwa, kujitakia mwisho mbaya na mke wako, kujenga chuki na watoto wako uliozaaa na mkeo, kujiongezea majukumu ya kutunza mke mdogo au hawala.
 
Kwanini utoke nje ya ndoa!
Unachokitafuta huko ni nini haswa?
Mimi binafsi sioni faida yoyote!
 
Kwanini utoke nje ya ndoa!
Unachokitafuta huko ni nini haswa?
Mimi binafsi sioni faida yoyote!
Sasa mkuu ukila chungwa kila siku,, ukiona ndimu utadhani nayo ni tamu kama chungwa. Ila ukionja hiyo ndimu ndipo utaliheshimu sana chungwa la kila siku. Waswahili wanasema kusaliti ni kama kulamba shubiri,, bila kuionja unaweza kudhani ni tamu lakini utakapoonja na kubaini ni chungu siku nyingine huwezi kurudia kulamba.
 
Sasa mkuu ukila chungwa kila siku,, ukiona ndimu utadhani nayo ni tamu kama chungwa. Ila ukionja hiyo ndimu ndipo utaliheshimu sana chungwa la kila siku. Waswahili wanasema kusaliti ni kama kulamba shubiri,, bila kuionja unaweza kudhani ni tamu lakini utakapoonja na kubaini ni chungu siku nyingine huwezi kurudia kulamba.
Ndio maana unashauriwa umalize kila kitu kabla ya kuingia kwenye ndoa!
Test kila aina!! Ukishaingia nunakuwa huna ulichokiacha nyuma!
 
Hizi topics.... mtihani kwa kweli.... Dah!
 
Ndio maana unashauriwa umalize kila kitu kabla ya kuingia kwenye ndoa!
Test kila aina!! Ukishaingia nunakuwa huna ulichokiacha nyuma!
Katika dini ama kabila na jamii zingine bikra ndiyo kigezo cha kuolewa,, sasa hayo mambo utayamaliza lini na wapi?
 
Katika dini ama kabila na jamii zingine bikra ndiyo kigezo cha kuolewa,, sasa hayo mambo utayamaliza lini na wapi?

Aiseee!
basi na mm ntatafuta mwenye bikira,
 
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha
1. So you are part and parcel of it?????
2. Unaposema personal experience unamaanisha tayari umeishatoka nje ya ndoa yako???
 
Ndio maana vijana siku hizi kuepuka na hayo wanajitahidi kuja kufikia kidato cha 2 wanakuwa shughuli za muhimu zote zinazohusu kuvunja amari ya 6 wameishamaliza na kufanya majaribio kwa ambazo ni kubwa zenye V na zisizo etc ,wakiingia chuo wameishaoana unofficially ,wakimaliza chuo ndio wanafikiria kama waoe officially wale raha au waachane na hiyo karaa kutegemea na majaribio yalitoa majibu gani
Cha muhimu hapo, kulaneni njeeeeeeeeeeeee mkimaliza mrudi ndani mtunze vitoto.Wenye bahati ni waliolazimishwa kuoa/kuolewa..
 
Faida yes, kama kwa awali kumetengeneza hasara, otherwise hasara kwa kwenda mbele
 
Katika dini ama kabila na jamii zingine bikra ndiyo kigezo cha kuolewa,, sasa hayo mambo utayamaliza lini na wapi?
Ilikuwa zamani, sasa hivi mambo yamebadilika!! Mwanamke bikira utamtatia wapi? Labda za kichina!
 
Faida ni kugundua kwamba hukupaswa kuoa/kuolewa!!
 
Back
Top Bottom