Faida za kutoka nje ya ndoa


Mkuu hii umenukuu wapi? I mean kama ni kitabu naomba jina na mwandishi ili nisome kwa umakini maana naona suala hili ni janga la kitaifa
 
<br />
<br />
Mkuu kuna gazeti moja la udaku japo silikumbuki jina, hapo katikati ya wiki hii kila kitu kimewekwa wazi. Nadhani itakusaidia kwa kiasi fulani kuweza kuzifahamu kidogo!
 
<br />
<br />
Mkuu kuna gazeti moja la udaku japo silikumbuki jina, hapo katikati ya wiki hii kila kitu kimewekwa wazi. Nadhani itakusaidia kwa kiasi fulani kuweza kuzifahamu kidogo!
Ukikumbuka jina unishtue kaka
 
Hasara ni nyingi kuliko faida kingine kinachochangia sana kutoka nje baina ya wanandoa ni mifarakano ya mara kwa mara ndani ya ndoa zao ila wengine ni tamaa tu wala hakuna cha maana.
 
i
inafaida na hasara,kwa faida!unaweza pewa vi2 ambavyo kimsingi huvipati ndani,hasara,costful,accessible to deseases


Binafsi hunisaidia sana kumhehsimu mke wangu. Unajua ukishapiga nje unakuwa kama unajihisi una hatia hivi, kwa hiyo mapenzi yanakuwa kwa sana. Halafu unaona kuwa kule nje hakuna cha ajabu - sana sana mambo madogo mamdogo tu.
Pia nje kuna mambo unaweza kuyaomba na ukayapata - nyumbani huwezi (simaanishi michezo michafu).
Lakini naona wanawake zetu wakienda nje wanarudi na madharau kibao - tofauti na sie
 

I agree, kutoka nje ya ndoa sometimes kunamfanya mwanaume atulie na mkeo. Sababu hasa mtu anapotoka nje ya ndoa anategemea kupata kitu zaidi ya kile cha nyumbani lkn ghafla anagundua home is best x200. Vivile unapotoka nje ya ndoa lazima ufungashe kondom, sasa yote ya nini hayo? Ukiangalia faida ni kidogo kuliko hasara. Hasara zenyewe: STDs na HIV/AIDS, psychological torture, axiety, self-defeating, breaching self-image in your surroundings. Hasara ni nyingi
 
Faida kwa sie tuliolewa na cheating husbands ni pale unapokuwa umeshindwa kumsamehe mumeo kwa madrama yake na wanawake wa nje, u cheat and forgive him and yourself tooo... then life goes on.....
 
jamani kutoka nje ya ndoa ni rahaaaaaa na utamuuuu tuuu hakuna majuto wala hasara. na mwisho/matokeo ya kutoka nje yatakapokufika ujue ndio mwisho wake umekuwa hivyo. kwa hiyo kama una hamu jaribu kutoka nje utaona mwsho wake, ukiona huna ujasiri wa kutosha basi kaa ndani ya ndoa tu wala hutapungukiwa kitu either
 
Ilikuwa zamani, sasa hivi mambo yamebadilika!! Mwanamke bikira utamtatia wapi? Labda za kichina!


Ubikira unatakiwa uwe to both men and women. Na sio kwa mwanamke pekee, mbaya zaidi kwa wanawake bikira inapimika tofauti na mwanaume, if you want a virgin you must as well keep your virginity otherwise utakwenda kumchafua mwenzako. Hivyo msiwatuhumu wanawake kwani bikira zao zatolewa nanyi wanaume at the end of the day we are all scrapers unless tuoane tukiwa vichanga, lol
 

ukiongelea ubirikira kwangu mie najiona kama mtu ambae naendea kununua viatu bila kujaribu namba, what if ukifika home ukagundua kiatu kile hakikutoshi na huwezi kuwa na nafasi ya kukifumua ukiongeze ukubwa??? njia nzuri ni kuanza mapemda kuchapana weeee hadi uone kweli vitu vinaelewana ndio unachukua jumla mzigo mkifika kwenye ndoa mnaendelea kurekebishana vitu vidogo vidogo sio tena kujaribu kurekebisha size ya 'viatu' je ukibeba mdude mkubwa kuliko uwezo wako itakuwaje???? i dont believe in virginity at all!!!!
 
Ni kuwa na mapepo mengi ya ngono ambayo siku moja yatakufanya ukimbie ndoa yako na kufaana watoto wako wawe mitaani.
 
Ni kuwa na mapepo mengi ya ngono ambayo siku moja yatakufanya ukimbie ndoa yako na kufanya watoto wako wawe mitaani wakiwa ombaomba. Aisee hakuna faida ya uovu, does satan has good deed''. Naomba mambo mengine yasiwe yanaandikwa humu unless tuwe na lengo letu ni kudestroy maadili.
 
sikulijua hili......................... kumbe ili ujulikane upo safi, ukigundua jamaa ka-cheat tu unadai talaka....................... ha haaaaaaaaaaaa.
hili labda litaaply kwa wamama, ila wababa wakigundua umecheat, hata kama yeye anacheat kila siku, ujue ndoa ipo mashakani!!!!!
 


habari ya masiku weye mdada?
 
Faida kwa sie tuliolewa na cheating husbands ni pale unapokuwa umeshindwa kumsamehe mumeo kwa madrama yake na wanawake wa nje, u cheat and forgive him and yourself tooo... then life goes on.....

safi sana Asha Ngedere.....................
samehe saba mara 70.....usichoke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…