Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kutaingia vitu hatarishi
[emoji23][emoji23][emoji23]baada ya kusikia kwichikwichi hotae nikajua tayari keshanyonyolewa
Inategemea ni vitu gani! Vingine vinaweza kuwa hatarishi kwa mwingine kwangu vikawa burudani🙄🙄🙄🙄Kutaingia vitu hatarishi
Furahia vikikupataInategemea ni vitu gani! Vingine vinaweza kuwa hatarishi kwa mwingine kwangu vikawa burudani🙄🙄🙄🙄
Napata wivu sasa[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Londoni loji kinoHahaha! Inaonekana jamaa alikuwa anamliza sana huyo mtu wake hadi ukasikia chumba cha pili!!! Hapa mlikuwa mnasikilizana....wakati wewe unapiga kwichikwichi na jamaa naye vivo hivyo. Mlikuwa lodge gani hiyo mkuu? Hahahaha!!!
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Wanadai kwa mwanaume kuvaa chupi inapelekea kupindisha minara ya Vodacom na kwa wanawake sielewi ni kwann ila nahisi ni kumlahisishia baba koku kazi.Kumbe shemeji yetu huwa havai chupi eeehhhh!![emoji41][emoji41][emoji41]
Wa mikoani wanavaa chup wale wengine wanavaa pampa!!!Wa dar ama wa mikoani? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahaha.......