Faida za Maharage

Iweje The Boss apende maharage ya mawese alafu we ukapende hayo ya nazi? Au tunachanga vyote?


.......lol! Mie kama kuna mawese sitaki kabisa yachanganywe na nazi...nataka yawe yenyewe tu....Sikuiona hiyo post ya BOSS ya maharage ya mawese na wali πŸ™‚
 
Klorokwini that mind of yours..... Dah! Tunashukuru bana na Ole wako Maharage yapande!
 
Klorokwini that mind of yours..... Dah! Tunashukuru bana na Ole wako Maharage yapande!

Nitaipress serikali ili hii sredi yangu iingizwe kwenye katiba mpya, yaani wiki 2 naiandaa, kumnyima waifu unyumba wiki 2 kwa ajili ya kuandaa sredi si mchezo Ashadii.

Inauma sana
 
Nitaipress serikali ili hii sredi yangu iingizwe kwenye katiba mpya, yaani wiki 2 naiandaa, kumnyima waifu unyumba wiki 2 kwa ajili ya kuandaa sredi si mchezo Ashadii.

Inauma sana


Kama JF Lawyer maarufu hapa (hata kama Boss kasema sio genuine) naamini mikiki yako itawezeshesha iingie kwenye katiba... (Ila tu hapo ya kumnyima wife unyumba)..... -Curious- Kumnyima ina maana hio kitu hukupata kabisa ama tu hukupata toka kwa wife?
 
Unaniudhi unaposahau kachumbari,kwa ajili ya kubalance uwepo wa vitamins,lol!
Hahahahaha lol! usisikie mkuu tena uwe wali wa nazi πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ na mchele wa kunukia halafu pembeni kuna ndizi mbivu
 
Na kweli sio kila mtu, mi sipati tatizo la gas asilia japo nala maharage kwa meals zote. Yaani maharage na mboga za majani sio mboga ni accompaniment.
Hehehehe uchafuzi wa hali ya hewa.
Japo sio kila mara/kila mtu.
 
Ww hujui kuna watu wakichafuliwa hali ya hewa ni ishara ya upendo? Unaweza kuchafua hali ya hewa mbele za watu? FF alishakataza akasema ni dhambi!
Kama itapandisha mzuka usiitaje, azawaizi lipuka tu bana, au ni ile ya gesi asilia?
 
Natumia sana maharage ingawa hapa karibuni niliyapenda zaidibaada ya kusoma article kwamba maharage yanaongeza zinc na madini mengine muhimu yenye kufanya sperms ziwe nyingi, zenye nguvu na uhai wa kutosha.
 
Huu utabibu wa my fellow kidonge machale yananicheza

Mpaka nipate clarifications toka kwa Mzizimkavu.....

Huyu kidonge anaweza kuwa ana mpango wa kutaka tuwe tunaachia ushuzi mbele ya kina King'asti.... Babu yangu alishawahi kunihasa, ni heri uachie ushuzi mbele ya mkeo kuliko mbele ya watoto au nyumba ndogo.
 
Hehehee, wabongo wasivyopenda maharage. Acha sie tuliozoea tuendelee kufaidi.
aisee mimi hiki ndicho chakula changu cha namba mojai!! Ukitaka kuniwekea limbwata niwekee tu kwenye ubwabwa mahage!!!
 
Mjiandae pia kwa ushuzi hasa nyakati za usiku!tehetehe ukitaka jua kero za maharage,chelewa kidogo kulala,then msikilizie mwenzako aliyekula maharage akiwa usingizini!Mabomu ya ushuzi hasa wa maharage mabichi,mh!utahama chumba.
 
Nimeyala sana skuli ,kila nikiwaza tena kuanza kuyatumia kama tiba mbadala nahisi kuumwa ..
 
Kama JF Lawyer maarufu hapa (hata kama Boss kasema sio genuine) naamini mikiki yako itawezeshesha iingie kwenye katiba... (Ila tu hapo ya kumnyima wife unyumba)..... -Curious- Kumnyima ina maana hio kitu hukupata kabisa ama tu hukupata toka kwa wife?
Hiyo curiousity yako mbona ni suicidal? khaaaa!

kudadeki, kuanzia sasa nikikaa bar ntakuwa natembea na hotpot langu, ni mwendo wa bia kwa maharage
πŸ˜›oa

Ww hujui kuna watu wakichafuliwa hali ya hewa ni ishara ya upendo? Unaweza kuchafua hali ya hewa mbele za watu? FF alishakataza akasema ni dhambi!
:shock:
maharage yenyewe kilo sh 2000! Na yanazidi kupaa wengine tutaishia kula mchicha. Maharage anasa
Haya yote yanasababishwa na jukwaa la siasa

Natumia sana maharage ingawa hapa karibuni niliyapenda zaidibaada ya kusoma article kwamba maharage yanaongeza zinc na madini mengine muhimu yenye kufanya sperms ziwe nyingi, zenye nguvu na uhai wa kutosha.
πŸ˜›oa

heheeh huyu ndo fellow tablet bana

aisee mimi hiki ndicho chakula changu cha namba mojai!! Ukitaka kuniwekea limbwata niwekee tu kwenye ubwabwa mahage!!!
Nazani smile amekusoma hapa

Mjiandae pia kwa ushuzi hasa nyakati za usiku!tehetehe ukitaka jua kero za maharage,chelewa kidogo kulala,then msikilizie mwenzako aliyekula maharage akiwa usingizini!Mabomu ya ushuzi hasa wa maharage mabichi,mh!utahama chumba.
:shock:

Nimeyala sana skuli ,kila nikiwaza tena kuanza kuyatumia kama tiba mbadala nahisi kuumwa ..

hehehe Umejaribu ya kigoma? yalopikwa na Russianroulette?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…