bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Maziwa ya mama yanafaida nyingi sana kwa mtoto anyonyae mfano yanamkinga na Maradhi mbalimbali kwani yana virutubisho vinavyompa mpa kinga mtoto(Immunity),yana joto linalotakiwa na mtoto,ni rahisi kumeng'enywa na utumbo wa mtoto,Yanakuza upendo kati ya mama na mtoto...nk
Kitaalamu mtoto anapozaliwa anatakiwa apate maziwa ya mama tu kwa muda wa miezi 6(exclussively breastfeeding) labda kama mama anamatatizo anaeza chagua njia mbadala(replacement/mixed) feeding
ila siku za karibuni WAMAMA WENGI HAWAPENDI KUWANYONYESHA WATOTO WAO ILE MIEZI 6 YA MWANZONI BILA KUWAPA VYAKULA VINGINE TENA WENGINE HATA ILE MIEZ 6 HAWAMALIZI YOTE MTOTO ANAACHISHWA KUNYOYA...JE tatizo lipo Wapi???
Kitaalamu mtoto anapozaliwa anatakiwa apate maziwa ya mama tu kwa muda wa miezi 6(exclussively breastfeeding) labda kama mama anamatatizo anaeza chagua njia mbadala(replacement/mixed) feeding
ila siku za karibuni WAMAMA WENGI HAWAPENDI KUWANYONYESHA WATOTO WAO ILE MIEZI 6 YA MWANZONI BILA KUWAPA VYAKULA VINGINE TENA WENGINE HATA ILE MIEZ 6 HAWAMALIZI YOTE MTOTO ANAACHISHWA KUNYOYA...JE tatizo lipo Wapi???