MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Sawa ngoja nitumie nione inakuajeDah hii imekaa kitaalam sana.
Sawa manake daktari alinambia ni natural capsules hazina kemikali ngoja nijarbu nione.Endelea kutumia uje hapa utuambie matokeo yake ili na sisi tuwashauri wengine
zipo kuna mdada kigamboni anauza katika pita pita zangu nkakutana na page yake instagram. anauza 25000 kikopo nkasema let me buy it.Zinapatikana wapi hizi mkuu nina shida nazo
yeye anauza product natural mbali mbali za kihindi sana sana ambazo no chemicals.Zinapatikana wapi hizi mkuu nina shida nazo
Ooooh sauwa unaweza waeleza na ukapata mzigo wako yule sista hana nomaSawa mkuu nipo Tunduma nilijua zinapatikana medical stores
Mkuu,samahani nipo nje ya mada kidogo.Ooooh sauwa unaweza waeleza na ukapata mzigo wako yule sista hana noma
wala hapanaMkuu,samahani nipo nje ya mada kidogo.
Unauhusiano na Majiyapwani wa mahiwa Lindi?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
hapana ni india natural herb inakua kwenye mfumo wa vidonge niliona sehemu wanasema vinasaidia kupungua makali ya depression na stress na kuweka homorne imbalance zikae sawah.Ni mkongoraa au ?
Vipi mkuu. Zilikusaidia?habari zenu wadau yeyote anayefahamu faida za hizi mambo manake nimeanza kutumia ashagwandha(Mmea unaokua huko india) nilikua natatizo la Depression na anxiety kuna daktari akanishauri nitumie Ashagwandha itanisaidia kuna ukweli wowote juu hizi capsules manake nimejarbu kupita pita huko Youtube na kwingine kila mtu anasema lake any experience kwenye hili jambo.
Pamoja na yote nasikia unasaidia kuweka homoni sawa za mwananume na wakike pia inasaidia kuonge libido na sex drive kuna ukweli wowote manake meanza tumia nina siku ya pili sasa yeyote ashawah tumia faida na hasara zake ni zipi.
View attachment 2423926