Faida za Ndoto Kiafya

Faida za Ndoto Kiafya

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kimsingi ndoto ni hadithi na picha ambazo hutengenezwa na akili zetu wakati tukiwa usingizini. Ndoto zinaweza kukufurahisha, kukuhuzunisha au kukuogopesha. Wataalamu wanadai tunapata ndoto nne hadi sita ndani ya usiku mmoja.

1. Kuamsha ubunifu. Unapoota ndoto taarifa ulizojifunza hivi karibuni & zile ulizojifunza zamani hugongana na kuunda taarifa mpya bora zaidi hivyo kukufanya uamke na masuluhisho bora zaidi ya changamoto mbalimbali.

2. Kutibu hisia & akili. Kupitia ndoto tunaweza kutoa hisia zote mbaya kama hasira tulizopata siku nzima. Ukiwa ndotoni unaweza kupata ahueni ya kihisia hivyo kukufanya uamke ukijihisi vizuri baada ya mahangaiko ya kihisia kama mahusiano kuvunjika.


Tiba Fasta
 
Sikuhizi nikiamka asubuhi na nikijikuta sijapata ndoto yoyote ile naona sijautendea haki usingizi wangu.
 
Back
Top Bottom