Faida za nyanya chungu

Kama kitendea kazi chako kiko legelege, una mimina vimiminika ndani ya dakika moja, au ukigonga kamoja unalala hadi kesho, basi wee anza kula supu ya nyanya chungu, kama inakushinda basi tengeneza nyanya chungu kama mboga, make sure unagonga kila siku.
Kwa wanawake nyanya chungu zinafanya TUKUYU iwe ya moto, nyevu na tamu. Zinaongeza hamu ya kupiga tukio na pia zinafanya usichoke.
 
Tahadhali uzidishaji wa ulaji wa hii kitu ni hatari wababa msije mkalazimika kwenda ofisini na kanzu baada ya kitu kugoma kulala!
 
Hahahaha Bujibuji bwana, hii ni kwenye ndoa zao tu, kama hujaolewa au kuoa usitumie kwani utasababisha majanga bureee.
 
Last edited by a moderator:

Nakubaliana na wewe mia kwa mia, binafsi nina uzoefu na ushuhuda nayo hiyo ya nyanya chungu, ndo maana watu wa tanga kwa majamboz.........................
 

Haya bujiBuji, una umri gani ?
 


nimeipenda hii.
ila kwa sie masingle mmh balaaa balaaa
 
Kumbeeeeeeeee
kweli usione watu wanakula nyanya chungu daily ukadhani hakuna hela ya nyama!!!!!
ahsante sana

kuna mmoja anazichoma kwa moto kama viazi.
Ila wanasema zinaongeza mma chini
 
mhm acheni zenu wee piga tizi na kula balance diet utakuwa wagegeda kwa raha yako goli zako tatu zinatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…