Faida za toefl tests

frozen

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
135
Reaction score
32
habari wanajamii Forums ,
Tafadhari nahitaji kufahamu faida za kufanya mitihani ya TOEFL, wapi hapa Dar naweza pata Tuition zake , vipi gharama zake ,na gharama ku giregister kufanya mitihani hiyo ni kiasi gani?
Mwenye uelewa wowote kuhusu TOEFL tafadhari, tujuzane.
Natanguliza shukrani za dhati.
asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…