Faida za upimaji na usajiri wa ardhi/viwanja


Awali ya yote naomba nifute kauli yangu ya hapo juu japo wewe ndio uliye sababisha.Tuyaache hayo,Nafikiri nitakuwa mteja wako hivi karibuni maana nimekuwa nazitafuta hizi details muda mrefu

Awali ya yote naomba kujua hili,Kwa wastani ekari moja inaweza kutoa viwanja vingapi vya Sqrm 1000?
 
kwa wastani wa ekari moja unaweza pata wiwanja vine vyenye wastani wa upana na urefu wa 31.62*31.62 ambavyo ni low density plots.
 
kwa biashara naomba uniPM kiongozi.
 
Hyo bei ni pamoja na Hati? Kama Beacon tu kwa 1.8m basi gharama zipo juu,maana navyojua mie kuweka beacon gharama haizidi 600k,Visiting site na kuchukua GPS ni elfu 60 tu,gharama za usafiri what if nina kavitz kangu? Je Town Plan mnatoa ninyi?
 
hizo ni gharama za upimaji tu kama jinsi nilivyoziainisha hapa juu, hapo hakuna ujanja ujanja hzo ni gharama ambazo nimezifanya kwa kuzingatia vigezo muhimu pamoja na muongozo wa wizara lakini pia kuhusu usafiri kama unao itakuwa bora kwako kwasabababu gharama zinapungua.na kuhusu town plan huwa wizara ndo inatoa hzi TP ingawa pia kuna makampuni binafsi huwa wanaandaa TP kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na wizara.
 

kutmia hati kuomba mkopo ngumu aisee
 
Kwa kweli ni watanzania wachache wanaweza kimudu gharama hizi,yutaedelea kuwaona wageni wakimiliki ardhi yetu!
 
Gis expert asante mwa mchanganuo. Kwa mfano mimi nina Gps yangu na naweza leta data ofisin kwa co-ordinates in X n Y .csv(file) bado chaji yenu inabaki hapo hapo? Na kama hakuna ulazima nikiwa mtaalamu wa hizo maneno si unaweza niambia tu whats needed ili kupunguza mda na gharama za kufika site (I mean kumleta mtu wkt vipimo vyote naeza leta ofisini).
 
Last edited by a moderator:

Ok mkuu ntakutafuta kwa hyo kazi maana nina kapori kangu jirani yangu kaweka jiwe that means cost ya kulitafuta jiwe haitakuwa kubwa sana maana jiwe lipo hatua moja tu.
 

Hiyo kitu haipo ndugu. Lazima Surveyor aende site ili awe na uhakika wa vipimo. Mimi mwenyewe ni Surveyor! Surveyor lazima afuate taratibu zote including site visit unless kama ni Surveyor njaa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kitu haipo ndugu. Lazima Surveyor aende site ili awe na uhakika wa vipimo.

Hahaaaha haya mkuu, lakini ukiwa Gis expert mix na Raster data wala huhitaji kufika site, ila powa kibongo bongo tu itabidi tufanye red tape tu iwepo. But surely developed countries wamesharahisisha baadhi ya basic data kama hizo kuwa precise sio mpk ufike site kwa sababu hata latest GPS ina makosa ya 6m plus or minus

Na wala sio vigumu hata kidogo, I can assure you bwana Gis expert
 
Last edited by a moderator:
kamandakazi amekupatia majibu mazuri sana, ni kweli ni lazima survor aende site ingekuwa hivyo usemavyo basi kulikuwa hakuna haja ya wataalamu kukaa kusoma miaka mine chuo. lakini pia hizi kazi ieleweke kuwa ni kazi za kitaalama sio ujanja ujanja tu.
 

Sijaelewa hapo red bold mkuu, ina maana kama mtu anataka hati ya shamba lake la ekari 10 itabidi azidishe hiyo 1,000,000 mara Kumi? Mbona ni ghali hivo au inakuwaje?
 
Sijaelewa hapo red bold mkuu, ina maana kama mtu anataka hati ya shamba lake la ekari 10 itabidi azidishe hiyo 1,000,000 mara Kumi? Mbona ni ghali hivo au inakuwaje?
hapana, nimesema kwa ekari moja tu lakini kama una ekari kumi basi inategemea na idadi ya beacons, umbali, ugumu wa kazi yaani namaanisha kwamba kama shamba lina vichaka na misitu mingi upimaji wake unakuwa mgumu sana na wataratibu mno hivyo haya ni baadhi ya mambo ambayo yanapelekea gharama kutambulika.
 

Thanx mkuu nimekupata, one day nitakutafuta. Unafanyia kampuni gani ili iwe rahisi zaidi kukupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…