Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
YES!
Najua kupima mwenyewe na nina ramani zangu na coordinates zake na ku-verify google earth .... je wewe kama mtu uliyesajiliwa, unafanya verification na kuondoa gharama nyingine? ... ninayo hadi topographic map ya mashamba kwa sababu tu niliwahi kuchukua GIS kidogo. Ila hazijahakikiwa, unaweza fanya uhakiki? ... for a cheaper price since I did most of the $hit by myself?
Hyo bei ni pamoja na Hati? Kama Beacon tu kwa 1.8m basi gharama zipo juu,maana navyojua mie kuweka beacon gharama haizidi 600k,Visiting site na kuchukua GPS ni elfu 60 tu,gharama za usafiri what if nina kavitz kangu? Je Town Plan mnatoa ninyi?
hakuna muda specific ndugu meja but kitu ambacho naweza kusema nikiwa kama mpimaji nitahakikisha utaratibu wote wa kupata haki yako unakamilika kwa wakati.Inachukua muda gani kuanzia kupima mpaka kupata hati?
napatikana ENA LAND CONSULT LTD kinondoni au piga simu no. 0714238436
napatikana ENA LAND CONSULT LTD, KINONDONI AU PIGA SIMU 0714238436Thanx mkuu nimekupata, one day nitakutafuta. Unafanyia kampuni gani ili iwe rahisi zaidi kukupata
Kuna swali nimekuuliza mkuu hapo juu,tafadhali naomba unipe info
Sioni swali lako tafadhali uliza tena.
kwa wastani wa kawaida ni viwanja vinne vyenye upana na urefu wa 31.62 kwa 31.62, gharama lazima ibadilike kutegemeana na resources zitakazotumika.Ekari moja inaweza kutoa viwanja vingapi vya Sqrm 1000? Na gharama inatozwa kulingana na idadi ya viwanja vitakavyotoka?
kwa wastani wa kawaida ni viwanja vinne vyenye upana na urefu wa 31.62 kwa 31.62, gharama lazima ibadilike kutegemeana na resources zitakazotumika.
hakuna upimaji unaofanyika bila town plan kwasababu TP ndo muongozo ambao unampatia surveyor njia za kupita wakati wa upimaji, sasa kama TP hamna katika eneo husika basi inabidi wataalamu wa mipango miji waandae mchoro kisha upata approval kutoka wizarani kisha kazi ya kupima ndo ianze.Nashukuru,na hili swala la sehemu ambazo hazina town plan huwa mnalimaliza vipi? Au ndio mpaka mteja asubiri hiyo town plan itoke?
ulishawahi fanya hivyo ukakutana na ugumu?
hakuna upimaji unaofanyika bila town plan kwasababu TP ndo muongozo ambao unampatia surveyor njia za kupita wakati wa upimaji, sasa kama TP hamna katika eneo husika basi inabidi wataalamu wa mipango miji waandae mchoro kisha upata approval kutoka wizarani kisha kazi ya kupima ndo ianze.
hakuna upimaji unaofanyika bila town plan kwasababu TP ndo muongozo ambao unampatia surveyor njia za kupita wakati wa upimaji, sasa kama TP hamna katika eneo husika basi inabidi wataalamu wa mipango miji waandae mchoro kisha upata approval kutoka wizarani kisha kazi ya kupima ndo ianze.
GHARAMA ZA KUPIMAADRHI KWA PLOT MOJA
INFORMATION FORSURVEY WORK:
Visiting site: Tsh.150, 000/=
Hiring tools: Tsh.300, 000/= per day
Surveyor charge: Tsh. 500, 000/=
Labor charge: Tsh.100, 000/=
Beacon Tsh.10, 000/= @1
Data + cartographic materials: Tsh.100, 000/=
Transport: Tsh.100, 000/= but it depend on the distance tobe travelled to sites
SUB TOTAL: Tsh.1, 300,000/=. Total hii imepigwa Kwa beacons tano lakini minimum beacons ni nne.
OFFICE WORK:
Licensed surveyor fee: Tsh.100, 000/=
Survey instruction: Tsh.100, 000/=
File compilation: Tsh.100, 000/=
Land officer: 50,000/=
Survey check two: Tsh.50, 000/=
Submission fee: Tsh.20, 000/=
Survey approval: Tsh.100, 000/=
GRAND TOTAL: Tsh.1, 820,000/=
Hivyo basi kwa tathimini hiyo gharama halisi inaweza rangekuanzia Tsh.1, 000,000- Tsh.2, 000, 000 kutegemeana na ugumu wa kazi na mahali site ilipo,kuhusugharama za kupima mashamba mara nyingi huwa tathimini yake inafanyika baada yamtaalamu kuangalia site ilivyo lakini kwa kawaida kwa ekari moja huwainagharimu kiasi kinachoanzia laki 700, 000 mpaka 1,000,000 kutegemeana namakubaliano ya mteja na mtaalamu baada ya utasmini wa gharama husika kufanyika.
Hiyo nimetoa kama roughly coast wana jf,kwamaelezo Zaidi napatikana kwa namba 0714238436