Faida zipatikanazo kwa kufanya tohara kwa wanaume

Faida zipatikanazo kwa kufanya tohara kwa wanaume

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Tohara kwa jinsia ya kiume ina faida zifuatazo kiafya


  • Inarahisisha kusafisha uume
  • Inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya njia ya Mkojo (U.T.I)
  • Inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya zinaa ikiwa ni pamoja na UKIMWI
  • Inapunguza uwezekano wa kupata kansa ya uume na kumpunguzia mwenza uwezekano wa kupata kansa ya kizazi


h9991339.jpg
 
Back
Top Bottom