Faida zipatikanazo kwa kufanya tohara kwa wanaume

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Tohara kwa jinsia ya kiume ina faida zifuatazo kiafya


  • Inarahisisha kusafisha uume
  • Inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya njia ya Mkojo (U.T.I)
  • Inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya zinaa ikiwa ni pamoja na UKIMWI
  • Inapunguza uwezekano wa kupata kansa ya uume na kumpunguzia mwenza uwezekano wa kupata kansa ya kizazi


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…