"Failed state"; Waziri ateua "MAITI"kuongoza "Board" ya Filamu.

"Failed state"; Waziri ateua "MAITI"kuongoza "Board" ya Filamu.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Hahahaha, jamaa alishakufa miaka miwili iliyopita, lakini waziri hana habari, anampa cheo na kutangaza jina lake ktk magazeti, hivi kweli Kenya ni nchi au ni genge la wahuni wanaongoza nchi?.

Habari za chini chini zinasema kwamba, huyu Waziri aliyefanya uteuzi huo, alikua ni miongoni mwa watu waliohudhuria mazishi ya huyo jamaa, kwasababu kabla ya kifo chake alikua ni naibu Waziri wa wizara hiyo hiyo, ila kwasababu ni kabila moja, alifanya makusudi kwa lengo la kuisaidi familia ya huyo mtu kupata mshahara wake." Failed state."
 
Only in Kenya,ila nafikiri ingefaa zaidi kutumia neno "Marehemu" badala ya "Maiti"
 
images.jpeg
corruption is Kenya and Kenya is corruption
Ha ha ha
😁😂🤣
Waangalie kwenye payroll, utakuta bado analipwa mshahara.
Kenya ndivyo ilivyo usishangae sana, ni nchi ya hovyo sana, ndio sababu wapo katika kundi la " Failed states".

Hahahaha, jamaa alishakufa miaka miwili iliyopita, lakini waziri hana habari, anampa cheo na kutangaza jina lake ktk magazeti, hivi kweli Kenya ni nchi au ni genge la wahuni wanaongoza nchi?.

Habari za chini chini zinasema kwamba, huyu Waziri aliyefanya uteuzi huo, alikua ni miongoni mwa watu waliohudhuria mazishi ya huyo jamaa, kwasababu kabla ya kifo chake alikua ni naibu Waziri wa wizara hiyo hiyo, ila kwasababu ni kabila moja, alifanya makusudi kwa lengo la kuisaidi familia ya huyo mtu kupata mshahara wake." Failed state."
 
Back
Top Bottom