Failed states index : Kenya yashika nafasi ya 17

kadoda11 Acha blah blah nyingi. Leta takwimu za kudhibitisha kwamba Kenya inarudi nyuma, kiuchumi, kimaendeleo na kidemokrasia.
 
Hii chorus naijua vizuri, ndio maana nikakuekea taarifa kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki Tanzania.
 
Hii chorus naijua vizuri, ndio maana nikakuekea taarifa kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki Tanzania.
Maaskofu ni binaadamu kama wewe nashangaa unahangaika na vitu vya kipuuzi wakat watanzania walio wengi wanafurahia matunda ya magufuli kwenye kila sector😂😂😂😂😂😂
 
Maaskofu ni binaadamu kama wewe nashangaa unahangaika na vitu vya kipuuzi wakat watanzania walio wengi wanafurahia matunda ya magufuli kwenye kila sector
Kwahivyo hao maaskofu, viongozi wa kidini, sio watanzania? Jombaa, kuna lile Jukwa la Siasa, jaribu kueneza hizi porojo zako huko.
 

Teh teh teh tihiii
yule hakuwa dictator, bali alikuwa amelewa madaraka.
 
Hayo ni mawazo na akili yako
 
I am saying Kenya is more likely to fail as a state than the United States and Tanzania
Nawashangaa sana wakenya ndugu zangu kupoteza muda kujicompare na other east African countries....you have said here and elsewhere that you are ahead of everyone, Can't you see that? Today you are even ahead of USA, what do you want?

NB: Wahenga walisema, "Chema chajiuza, Kibaya cha chajitembeza".

Chekeleeni umwamba wenu, tuacheni sisi tutatoka kivyetuvyetu
 
Heheee kama wivu na roho mbaya limafanya nchi iwe failed state basi Tanzania ime~qualify. Binafsi najua kwamba wivu ni rasilimali Tanzania. Roho mbaya mnazo kwa sababu mliteketeza viumbe walio hai.uhayawani usio na kifani.

Janerose hebu vifaranga au viumbehai uende USA bila valid permit uone.
 
Aisee. Mbona mnatumia nguvu nyingi hivyo kunipinga. Mkiona hata sehemu moja ambayo Kenya inahusishwa na jina udikteta mnitag tafadhali.
Ihusishwe na nani tena wakati Kenya imekua ranked very low katika nchi zenye demokrasia duniani, ukigeuza kichwa chini miguu juu maana yake Kenya inashika nafasi za juu sana katika udikteta, hiyo ni kwa mujibu wa ranking za UN, sio za mitandaoni.
 
Aisee. Mbona mnatumia nguvu nyingi hivyo kunipinga. Mkiona hata sehemu moja ambayo Kenya inahusishwa na jina udikteta mnitag tafadhali.
kwahiyo mbunge akisema NO ikawekwa YES huo sio udikteta.
Vipi ile kamati ya kushughulika na issue ya SUGAR (doctored document)mpaka spika anaona aibu
 
Ihusishwe na nani tena wakati Kenya imekua ranked very low katika nchi zenye demokrasia duniani, ukigeuza kichwa chini miguu juu maana yake Kenya inashika nafasi za juu sana katika udikteta, hiyo ni kwa mujibu wa ranking za UN, sio za mitandaoni.
Ndio hawa wale ambao mpo kwenye ligi moja nao kidemokrasia. Democracy in crisis 2018, nchi kumi ambazo zipo kwenye Human Rights Watch.
 
kwahiyo mbunge akisema NO ikawekwa YES huo sio udikteta.
Vipi ile kamati ya kushughulika na issue ya SUGAR (doctored document)mpaka spika anaona aibu
Sasa bunge la Tz zaidi ya kusema ndiooo na kukata mauno ni nini huwa wanafanya cha ziada?
 
Ndio hawa ambao mpo kwenye ligi moja nao kidemokrasia. Democracy in crisis, Human Rights Watch.
Hakuna anayepinga kwamba Magufuli anakandamiza Uhuru wa kisiasa na kujieleza, lakini pamoja na hayo yote, bado Tanzania ipo huu ya Kenya, sasa jiulize Kenya ipo katika hali gani?
 
Hakuna anayepinga kwamba Magufuli anakandamiza Uhuru wa kisiasa na kujieleza, lakini pamoja na hayo yote, bado Tanzania ipo huu ya Kenya, sasa jiulize Kenya ipo katika hali gani?
Sina muda wa kubishana kuhusu masuala ambayo yapo wazi. Ndio maana nikakuambia kwamba kwenye demokrasia hakuna zaidi ya Tz ukanda huu wote.
 
Sasa bunge la Tz zaidi ya kusema ndiooo na kukata mauno ni nini huwa wanafanya cha ziada?
Ninyi bunge lenu zaidi ya kuwa ni kambi zinazowakilisha makabila nini zaidi wanachosaidia nchi?, Wabunge wenu ndio vinara wa rushwa na kujiongezea allowances wakati, rushwa, ukabila, nepotism, crime na police killings vikitamba nchi mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…