ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
wakuu heshima yenu.. naomba msaada hivi mtu anayepatikana na hatia ya kupigwa fain mfano milioni moja,sheria inasemaje kuhusu kulipa hiyo fain? mfano hai ni kosa la uharibifu wa mali na kapatikana na hatia atalipa yote hapohapo au kunakuwa na makubaliano jinsi ya kulipa? Nawasilisha