Fainali, Klabu Bingwa Afrika: USM Alger vs TP Mazembe

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Leo fainali ya kwanza itachezwa nchini algeria kabla ya marudiano wiki ijayo nchini congo drc . watanzania sammata na ulimwengu watakuwa wanatafuta kuandika historia ya wa kwanza kutwaa taji hilo. sammata yeye anatafuta goli 1 katika mechi hizo mbili ili kuwa mfungaji bora wa africa msimu huu. mechi itachezwa saa 2230 kwa saa za africa mashariki uku supersport watakuwa live. kila la kheri sammata na ulimwengu
 

Kama utani TP Mazembe wanalitawala soka la Africa. Sisi tunatawala siasa za soka!
 
stunning Goal from kalaba great assist from ulimwengu tp mazembe 1
 
Sammata anawasumbua japo wamembana sana
 
Mfungaji wa goli Kalaba amepewa kadi nyekundu tp mazembe wako pungufu sasa
 
Mfungaji wa goli Kalaba amepewa kadi nyekundu tp mazembe wako pungufu sasa

Huyu dogo wa nchi gani?
TP mazembe wako vizuri sana, sema ni vile wamekuwa pungufu lakini nilitegemea watoke na ushindi wa zaidi ya goli moja
 
Huyu dogo wa nchi gani?
TP mazembe wako vizuri sana, sema ni vile wamekuwa pungufu lakini nilitegemea watoke na ushindi wa zaidi ya goli moja

Kalaba ni mzambia, apa itakuwa ngumu kupata ushindi mnono maana tayari wako pungufu alafu ni ugenini labda walinde ili moja au watafute droo
 
Kalaba ni mzambia, apa itakuwa ngumu kupata ushindi mnono maana tayari wako pungufu alafu ni ugenini labda walinde ili moja au watafute droo

Kweli kabisa mkuu
 
Upigaji wa penati ni tatizo la dunia kumbe, TP Mazembe wanakosa penati daaah
 
Waarabu nao wako pungufu sasa, mchezaji wao aliunawa mpira kusudi ndo ikawa hiyo penati na kadi nyekundu juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…