Fainali, Klabu Bingwa Afrika: USM Alger vs TP Mazembe

Ata yanga mwakani tutacheza na TP Mazembe final inshaallah.
 
Duh...game niiliacha Mazembe wakiwa wanaongoza goli moja kipindi cha pili mwanzoni...

Haya matokeo mazuri kwa Mazembe, wakiwa Lubumbashi wanatakiwa waanze kuziona nyavu basi Waalgeria watakuwa na mlima wa kupanda

Ila kwa jinsi wanavyocheza sina shaka hata Lubumbashi watakula kichwa cha mwarabu
 
Ni kweli

Wapo vizuri sana

BTW Jana Samatta Magoli alitupia bao la ushindi wa ugenini.

Natumai wanasoka wengine wa TZ watafuata nyayo za hawa jamaa
 
Naisubr hiyo game kwa ham kuwaona watz wawil wakiweka record kwa mara ya kwanza!! kuchukua kombe LA klab bingwa Afrika
 
Channel gan au zipi zitaonyesha hii game live? Na itakua saa ngapi?
 
Kwann fainali za Africa znachezwa nyumban na ugenii kwann inakua hvo
 
Kwann fainali za Africa znachezwa nyumban na ugenii kwann inakua hvo

inabidi iwe hivyo kutokana na kipato cha waafrica pamoja na jiographia ya africa na miundombinu. hebu chukulia simba na yanga ziwe zimeingia fainali klabu bingwa africa halafu fainali ichezwe afrika kusini je unadhani watu wangapi wana uwezo wa kwenda huko kushuhudia mechi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…