Naona huyu ndugu yetu (mosquito...sorry Mbu) anajitafutia ugonjwa wa moyo...Kwa bongo mambo yanaenda kwa Vodafasta tu...Unahangaika nini na watu hao au mambo hayo? Mla mla leo bwana!!
Why not day zero (day 0)???? Kuahirisha mwanzo wa uzee naamini ndo kosa kubwa linalotupofusha!
Mkuu yale mambo yako unayotuma huwa naishia kucheka kiasi kwamba hata kujibu nashindwa lol!!!Yaani Mbu huyu, sijui nimwitaje tena?
Nilikuwa natafuta kijana mwenzangu hatimaye nimempata thanks GOD.Lol!!!Asante sana mbu kwa kutukumbusha hilo............ukiwa hujajianda unaona maisha si kitu tena....vijana tusijisahau tukabaki kujirusha na kuponda raha fainali uzeeni
kweli fainali uzeeni, mhhh cku hizi kuuona huo uzee imekuwa ishu kweli.
Hahahaha!!!!uzee bila akiba watoto wetu watacheza,kama kawaida yetu waafrica
Umenikumbusha kuna jamaa wali-release picha ya late Princess Diana kumuonyesha angekuwa anatimiza miaka 50 angekuwa anafanana vipiI wish JF should stay for 30 years or so to come. Kisha tukaja ulizana imekuwaje mwenzangu?
The following user The Finest says thank you for this useful postGood one Mbu, good one.........
when i was getting married (over seven years ago) i wanted a woman who was attractive, smart, a mother to my kids, a lover, a friend, sweetheart.... you name it!! i never factored issue ya maisha yetu after 70 years
Most of us (i believe) marry for the happy moments we dream of and sometimes we forget this important life after 60's
I only started to think of such scenarios last year when i watched a certain movie... and to be honest, so far i am too deep on investing for the kids and quality time
Kids are always a very good energy when couples get old
What goes around comes around.... Usipojiwekea akiba ya uzeeni, ujue unachezea shilingi chooni.
Tujiandae! Ujana ni moshi...unafuka huoooo wenda zake!...kufumba na kufumbua utajikuta marafiki wanapungua
kwa rate ya mafungu ya 10%...na kujikuta mkiwa...
QUOTE]
Dah, Mbu ukisema haya maneno unanikata ngebe zote kiongozi,
unabaki kushtuka, na usipoangalia waweza kupata na shinikizo la damu lol.....
kweli fainali uzeeni, ikishafika point hii ujanja wote unauweka mfukoni lol.....
Mkuu yale mambo yako unayotuma huwa naishia kucheka kiasi kwamba hata kujibu nashindwa lol!!!
Hahahaha!!!!Kamanda najua huna usemi, na nina uhakika umewafowadia wale warembo . . . .
Hahaha kweli lakini nyamayao
Afu eti ni kweli kuwa watu wa huko Kasikazini wanaishi muda mrefu kwa sababu wanakula maparachichi kwa wingi?? Niliwahiuliza nikajibiwa hivi sa sijui niliingizwa mkenge!! But kule wazee wenye umri mkubwa naona kama wako kwa wingi (I might be wrong tho)
Nilikuwa natafuta kijana mwenzangu hatimaye nimempata thanks GOD.Lol!!!
Halafu mambo ya kujifanya Invisible hautaki kuonekana ngoja nianze kufanya TRACE ROUTE hapa mujini nione nitaishia kukupata kwenye destination ipi i hope hawataniambia "Destination Host Unreachable"Kamanda najua huna usemi, na nina uhakika umewafowadia wale warembo . . . .