msela wa mbagala
Senior Member
- Dec 13, 2019
- 139
- 443
Mwenye ufafanuzi wa hili jambo atupe elimu kidogo. Inawezekanaje mshindi wa pili wa kombe akakosa medali??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata picha tu inatosha mwaka 93 cameras zilikuwepoMwenye ufafanuzi wa hili jambo atupe elimu kidogo. Inawezekanaje mshindi wa pili wa kombe akakosa medali??
Wenye akili huko ni wawili tuMwenye ufafanuzi wa hili jambo atupe elimu kidogo. Inawezekanaje mshindi wa pili wa kombe akakosa medali??
Sawa ni wawili ila tuonyesheni hizo medalsWenye akili huko ni wawili tu
Ahaa, afadhali sasa hivi akili zimewakaa mmeanza kukubali kuwa kumbe ni kweli Simba alifika fainali, ila ishu ni medaliFainali waliyofika makolo ya kombe la Comred Abiola hawakutoa medali za mshindi wa pili
Hata kombe la mapinduzi lina medali huku mtaani kwetu kuna ligi imemalizika na kulikua na medali kwanini nyinyi simba mmefika mpaka fainali alafu hamjapewa medali ??Ahaa, afadhali sasa hivi akili zimewakaa mmeanza kukubali kuwa kumbe ni kweli Simba alifika fainali, ila ishu ni medali
View attachment 2610548
Sasa kama hata kombe la Mapinduzi lina medali, kuna haja tena ya kuing'ang'ania? Tofauti itakuwa nini iwapo kama wewe una akili ya darasa la saba na mtoto wa darasa la saba ana akili ya darasa la saba? Kitakuwa ni kitu cha kujivunia tena?Hata kombe la mapinduzi lina medali huku mtaani kwetu kuna ligi imemalizika na kulikua na medali kwanini nyinyi simba mmefika mpaka fainali alafu hamjapewa medali ??
Leta medal acha porojoSasa kama hata kombe la Mapinduzi lina medali, kuna haja tena ya kuing'ang'ania? Tofauti itakuwa nini iwapo kama wewe una akili ya darasa la saba na mtoto wa darasa la saba ana akili ya darasa la saba? Kitakuwa ni kitu cha kujivunia tena?
Makombe yote duniani yana medali kwa mshindi 1 ,2 na wengine mpaka watatu 3 inakuaje simba anakua mshindi wa pili hapewi medaliSasa kama hata kombe la Mapinduzi lina medali, kuna haja tena ya kuing'ang'ania? Tofauti itakuwa nini iwapo kama wewe una akili ya darasa la saba na mtoto wa darasa la saba ana akili ya darasa la saba? Kitakuwa ni kitu cha kujivunia tena?
Duh!Mwenye ufafanuzi wa hili jambo atupe elimu kidogo. Inawezekanaje mshindi wa pili wa kombe akakosa medali??
Tena HDHata picha tu inatosha mwaka 93 cameras zilikuwepo
Wakikujibu nitagMakombe yote duniani yana medali kwa mshindi 1 ,2 na wengine mpaka watatu 3 inakuaje simba anakua mshindi wa pili hapewi medali
Kwani ulizaliwa lini?Hata picha tu inatosha mwaka 93 cameras zilikuwepo