ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Wakuu Habarini.
Nimeona Na Kushangazwa na Uwanja Wa Lake Tanganyika Kigoma Ambao utatumia katika Fainali za ASFC, Huu sio Uwanja wa Mpira na Pori na Mapagale Ya Uwanja.
Sifikiri wala sioni huu uwanja ukikamilika Hivi Karibu, Kuna Uwezakano mkubwa sana Wa Fainali hizi Kuihusisha SIMBA NA YANGA lakini Kwa Kiwanja hicho Tutashuhudia Fainali Mbovu kuwahi kutokea Nchi Kwetu.
Ikiwa Muda mchache umebaki kuifikia Fainali na Uwanja Umeanza Kulimwa sasa, Najiuliza huu uwanja utakamilika lini na Kufanyiwa Majaribio Lini kwa Ubovu wa Pitch Ile, Hakuna Vyumba Vya kubadirishia nguo na hata njia za kukimbilia ndio zinalimwa sasa.
Kama walijua Ule uwanja utatutumika kwa Fainali za ASFC walikuwa Wapi kurekebisha Kwa Mwaka Mzima. Kwa Ule Uwanja Hauhitaji marekebisho ya Miezi miwili au 3 unahitaji miaka hata 2.
Anaye washauri TFF ni nani?
Nimeona Na Kushangazwa na Uwanja Wa Lake Tanganyika Kigoma Ambao utatumia katika Fainali za ASFC, Huu sio Uwanja wa Mpira na Pori na Mapagale Ya Uwanja.
Sifikiri wala sioni huu uwanja ukikamilika Hivi Karibu, Kuna Uwezakano mkubwa sana Wa Fainali hizi Kuihusisha SIMBA NA YANGA lakini Kwa Kiwanja hicho Tutashuhudia Fainali Mbovu kuwahi kutokea Nchi Kwetu.
Ikiwa Muda mchache umebaki kuifikia Fainali na Uwanja Umeanza Kulimwa sasa, Najiuliza huu uwanja utakamilika lini na Kufanyiwa Majaribio Lini kwa Ubovu wa Pitch Ile, Hakuna Vyumba Vya kubadirishia nguo na hata njia za kukimbilia ndio zinalimwa sasa.
Kama walijua Ule uwanja utatutumika kwa Fainali za ASFC walikuwa Wapi kurekebisha Kwa Mwaka Mzima. Kwa Ule Uwanja Hauhitaji marekebisho ya Miezi miwili au 3 unahitaji miaka hata 2.
Anaye washauri TFF ni nani?