Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

00' Naaam mpira umeanza Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Yanga SC 0-0 Coastal Union
 
10' Sopu Goooooooooooaaal goal

Abdul Sopu anaipatia Coastal Union bao la kwanza, baada ya Krosi ya Akpan

Yanga SC 0-1 Coastal Union
 
Coastal wametangula bao moja
 
Yanga wanafundishwa namna ya kucheza na kufunga goli.
 
Hakuna namna Kwa wanavyocheza coast wasifungwe labda Leo iwe siku ya bahati Kwa Coast. lakini Kwa mpira wanavyo cheza Yanga wanastahili kushinda.
 
Ebwana eeeeh mganga wa COAST katoka kibati USAIN BORT akasome
tungemkamata maji angeita mma
 
Kusajili Chiko Ushindi kama mchezaji wa Kimataifa ni aibu kwa YANGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…