Coastal wajitahidi tu kushikilia bomba10' Sopu Goooooooooooaaal goal
Abdul Sopu anaipatia Coastal Union bao la kwanza, baada ya Krosi ya Akpan
Yanga SC 0-1 Coastal Union
Majini yote ya Tanga yamehamia Arusha leo.
Wananchi leo mnafungwa! Kwapa zipi tena madame?Yanga ananyanyua kwapa lingine leo.
hawa watoto walienda kuroga katikati ya bahariMajini yote ya Tanga yamehamia Arusha leo.
Labda ananyue matakoYanga ananyanyua kwapa lingine leo.
Umelewa mzee?Mayele ana fight kuongeza bao la 17
Umeandika kinyonge mwenyewe! [emoji3525] Wenzako wamepanga kuishangilia kwa nguvu Coastal Union ili kupata matokeo! Sasa wewe unaleta stori gani tena.