marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Washabebwa huku waarabuFainali ya uefa je ilikuwaje?
Maana hii ni klabu bingwa africa. Ilinganishwe na klabu bingwa za mabara mengine mwaka huu kama ulaya, zimechezwaje?
Ninacho linganisha hapa ni nyakati mzee uefa final imepigwa may hukoFainali ya uefa je ilikuwaje?
Maana hii ni klabu bingwa africa. Ilinganishwe na klabu bingwa za mabara mengine mwaka huu kama ulaya, zimechezwaje?
Mpira wa Simba Dar Vs Kaizer ulikuwa mkubwa sana kuliko hii fainali
Hawa Kaizer hawakustahili hii fainali yani wametia aibuFainal mbovu kuliko zote, mtu anakula chuma nyingi hv
Kwelii, Ila pia red card imewaathiri sanaHawa Kaizer hawakustahili hii fainali yani wametia aibu
Red ilikuwa halali?Kwelii, Ila pia red card imewaathiri sana
Ndio, clear kabisaRed ilikuwa halali?
Hawa jamaa wa CAF wameshindwaje kuipeleka hii fainali kwenye taifa lisilo na lockdown
Yani fainali inaboa ipo kama mazoezi yani.
Juzi tu hapa tumeona fainali za EURO huko budapest watu wako full house hadi fainali raia walikua kama ote pale Wembrey
Ila huku kwa CAF wao wameipeleka fainali bila fans,
Si wange ileta tu hata kwa mkapa tuvibe
Caf ni mabogus sana yani..!