DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Tofauti na fainali zingine zilizopita, hii imetokea kuwa ni yenye ushindani sana ukizingatia timu zenye mastar wa dunia namaanisha juventus wakiwa na cr7
Na fc Barcelona wakiwa na lionel messi
Zimetolewa. Wengi tulitarajia, fainali ingechezwa kati ya Barcelona na ajax lakini timu zote zimetokea kupindua matokeo na kuishangaza dunia.
Si mara ya kwanza kwa Liverpool kupindua matokeo katika michuano mikubwa
Liverpool vs Dortmund
ambapo Liverpool aliweza kushinda goli NNE pale an field
Na mwaka 2005 dhidi ya Ac milan.
Na matokeo yote yameonekana kupinduliwa katika uwanja wa nyumbani wa Liverpool
Anfield.
Uwanja wa anfiled inaaminika Luna nguvu ya miujiza ambayo inatokana na kocha alieiongoza Liverpool kwa mafanikio makubwa kabisa, sir bill shanky, ambaye baada ya kufariki dunia mwaka 1981
Mwili wake uliteketezwa na majivu take kuzungushwa katika chaki za uwanja.
Pengine hii ndiyo sababu kubwa liverpool inakua na morali hasa katika mechi zake za nyumbani
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
Upande wa Tottenham hotspurs in timu ambayo msimu huu haijasajili na wachezaji wake sio wa gharama kubwa ukilinganisha na timu za pale england kama Manchester united man city na Chelsea
Lakini kwa miaka mitatu mfululizo wamekua wapinzani wakubwa kwenye ligi ya uingereza na kupelekea timu kama arsenal kukosa kushiriki mashindano ya uefa
Kwa miaka mitatu mfululizo.
Wachezaji wa spurs wanacheza kwa kujituma sana.
Tutarajie mengi sana katika fainali ya uefa japo ni TIMU ZA england ndo zinacheza.
Allez allez allez.
#UCL
Na fc Barcelona wakiwa na lionel messi
Zimetolewa. Wengi tulitarajia, fainali ingechezwa kati ya Barcelona na ajax lakini timu zote zimetokea kupindua matokeo na kuishangaza dunia.
Si mara ya kwanza kwa Liverpool kupindua matokeo katika michuano mikubwa
Liverpool vs Dortmund
ambapo Liverpool aliweza kushinda goli NNE pale an field
Na mwaka 2005 dhidi ya Ac milan.
Na matokeo yote yameonekana kupinduliwa katika uwanja wa nyumbani wa Liverpool
Anfield.
Uwanja wa anfiled inaaminika Luna nguvu ya miujiza ambayo inatokana na kocha alieiongoza Liverpool kwa mafanikio makubwa kabisa, sir bill shanky, ambaye baada ya kufariki dunia mwaka 1981
Mwili wake uliteketezwa na majivu take kuzungushwa katika chaki za uwanja.
Pengine hii ndiyo sababu kubwa liverpool inakua na morali hasa katika mechi zake za nyumbani
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]
Upande wa Tottenham hotspurs in timu ambayo msimu huu haijasajili na wachezaji wake sio wa gharama kubwa ukilinganisha na timu za pale england kama Manchester united man city na Chelsea
Lakini kwa miaka mitatu mfululizo wamekua wapinzani wakubwa kwenye ligi ya uingereza na kupelekea timu kama arsenal kukosa kushiriki mashindano ya uefa
Kwa miaka mitatu mfululizo.
Wachezaji wa spurs wanacheza kwa kujituma sana.
Tutarajie mengi sana katika fainali ya uefa japo ni TIMU ZA england ndo zinacheza.
Allez allez allez.
#UCL