KERO Faini isiyokuwa na uhalisia wa malipo husika inayotozwa kwenye nyumba za kulala wageni

KERO Faini isiyokuwa na uhalisia wa malipo husika inayotozwa kwenye nyumba za kulala wageni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Siku hizi kumekuwa na kasumba kwa baadhi ya maafisa biashara wa Halmashauri kwenda kwenye nyumba za kulaza wageni wakisema ni ukaguzi wa mchana. Hivi ikitokea mteja kaacha hata begi akatoka akiwa bado hajajiandikisha unatakiwa ulipe faini.

Hiyo faini sasa unaweza kuta ni zaidi ya 250% ya malipo ambayo wanadai ulitaka kutorosha

Mfano kama chumba chako unapangangisha kwa Tsh 10,000 ukikutwa na kosa unatakiwa ulipe tsh 300,000 tena ndani ya saa 24

HIVI HII NA HALALI KWELI

MLIKIKI KUTOKA HANDENI TANGA
 
Bongo bhana visa sana wanaacha kazi za kufanya wanakimbilia guest vima sana hao...badala ya kutafuta mfumo wa kisasa utumike kwenye hizo nyumba wao bado wapo na madaftari hawafikirii kitu zaidi ya kwenda kuomba rushwa..
 
Back
Top Bottom