Faini ya bodaboda ilistahili kuwa Shilingi 50,000; tutashuhudia mengi kwa wasiozingatia usalama

Ninavyofahamu mm kanuni mojawapo ya adhabu/faini lazima iwe inaumiza ili usirudie kosa..

Sasa hawa badala ya kupandisha faini wao wanashusha, sijajua lengo ni kuzuia makosa au kukusanya pesa.

Faini inapaswa kuwa kubwa maradufu ili watu waogope kufanya makosa tena muda mwingine kwa makusudi kabisa.
 
Kwanza hao bodaboda huwa wanakamatika kweli au ndio ujinga tu? Labda Bajaj Ila Bodaboda kumkamata sio rahisi na sijawahi kusikia boda analalamika amepigwa mkono na trafiki, wao huwa wanapambana na wale askari wenye pikipiki na wanachukua rushwa wanaishia hakuna anayekamata.

Pia ajali itazidi Hawa wahuni ni shida tena Bajaj nao ni tatizo kubwa sana. Tutaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…