Faini ya CAF kwa Biashara inatisha

Faini ya CAF kwa Biashara inatisha

Uzembe wao, shida zao...

Timu nyingi hapa kwetu hazina wataalam, zina endesha kama vigenge vya wasio na dira, wapigaji nk

Mechi ya kwanza wameondoka ondoka tu kishikajishikaj na wakarejea hivyo hivyo

Mechi hii pia wamekuja kutaka kufanya vile vile...

Yule mzamini pale kifuani sijui ana kazi gani? Wange mkopa pesa ya kupeleka timu na kurejesha

CAF wana toa ratiba zao mapema, hivyo ujiandae kusafiri na bajeti zingine, wao bado wana angaikia usafiri mpka Siku ya mchezo kama walivyo Fanya mechi yq awali bila kujua taratibu zipoje na nimuda gani unatakiwa kutoa taarifa

Timu zisizo na viongozi making, hazija jipanga ndio shida zina wakuta...

TFF hatoi pesa, akitoa ni hisani, yeye ni muwakilishi au kiunganishi kt ya mpira wa tz na taasisi zingine za michezo kama cecafa, caf, FIFA nk...

Timu zinapo ambiwa zijitegemee zitafute vyanzo vya mapato vifanye hivyo kweli, sio ujanja ujanja usio na maana...

TFF ana fundishwa kusimamia sheria, ingekuwa TZ hii mechi ingepelekwa mbele sababu ujanja ujanja na watu kuvunja sheria wazi wazi na hakuna wa kuwawajibisha zaidi ya kuingiza siasa na wanasiasa kufanya mitaji yao kisiasa

Sheria zikisimamiwa ipasavyo itasaidia kushtua walio lala...

Kwangu natamani Biashara United msimu huu ishuke daraja kabisa ili wakaanze upya, hawaja jipanga...
 
Uzembe wao, shida zao...

Timu nyingi hapa kwetu hazina wataalam, zina endesha kama vigenge vya wasio na dira, wapigaji nk

Mechi ya kwanza wameondoka ondoka tu kishikajishikaj na wakarejea hivyo hivyo

Mechi hii pia wamekuja kutaka kufanya vile vile...

Yule mzamini pale kifuani sijui ana kazi gani? Wange mkopa pesa ya kupeleka timu na kurejesha

CAF wana toa ratiba zao mapema, hivyo ujiandae kusafiri na bajeti zingine, wao bado wana angaikia usafiri mpka Siku ya mchezo kama walivyo Fanya mechi yq awali bila kujua taratibu zipoje na nimuda gani unatakiwa kutoa taarifa

Timu zisizo na viongozi making, hazija jipanga ndio shida zina wakuta...

TFF hatoi pesa, akitoa ni hisani, yeye ni muwakilishi au kiunganishi kt ya mpira wa tz na taasisi zingine za michezo kama cecafa, caf, FIFA nk...

Timu zinapo ambiwa zijitegemee zitafute vyanzo vya mapato vifanye hivyo kweli, sio ujanja ujanja usio na maana...

TFF ana fundishwa kusimamia sheria, ingekuwa TZ hii mechi ingepelekwa mbele sababu ujanja ujanja na watu kuvunja sheria wazi wazi na hakuna wa kuwawajibisha zaidi ya kuingiza siasa na wanasiasa kufanya mitaji yao kisiasa

Sheria zikisimamiwa ipasavyo itasaidia kushtua walio lala...

Kwangu natamani Biashara United msimu huu ishuke daraja kabisa ili wakaanze upya, hawaja jipanga...
Umemaliza kila kitu ( thread Naona iishie apa)
 
Back
Top Bottom