Faini ya Tsh 10,000 kwa kukojoa...

Kibunango

Platinum Member
Joined
Aug 29, 2006
Posts
8,468
Reaction score
2,349
Hapo ni Misungwi Mwanza, iwapo utapatikana unatumia choo hicho hapo juu bila kulipa utapata faini ya buku kumi hapo hapo pasipo kufikishwa Mahakamani....

Adha ya Wafagiaji wa barabara jijini Mwanza ni kama inavyojionyesha hapo juu. Imefika wakati wafagizi wa barabara katika Majiji yetu wakawa wanafagia barabara wakati wa alfajili wakati hakuna magari mengi njiani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…