MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Au ingekuwa baada ya mechi unaachiwa tundu usoni basi sura za wazinzi zingekuwa kama chandarua.
Hizi posts zingine ni za kitoto kabisa,mtu unakaa unafikiri jambo kama hili,sijui lkn ila naamini ndo maana sisi ni masikini,
Hizi posts zingine ni za kitoto kabisa,mtu unakaa unafikiri jambo kama hili,sijui lkn ila naamini ndo maana sisi ni masikini,
bora hayo matundu kwa mwanaume,
sasa kwa mwanamke reception yote kwishilin!!!!!
siyo wote wanavaa chupi! hasa wanaume! sasa huyo utabadilishana nae nini? au suruali aliyovaa!
au nyeti zao znahamia kwenye mapaji ya uso kwa wiki mbili nzima...!!Au ingekuwa baada ya mechi unaachiwa tundu usoni basi sura za wazinzi zingekuwa kama chandarua.
Jamani tukue kimawazo na kifikra sio kukua miili tu, wakati vichwani kumejaa ujinga mtupu! na hii inafanya viongozi mafisadi kutuona watu tusio na madhara kwao ktk mbinu na mipango yao ya kukamua mali za nchi hii,maana wenye mali wao ni ngono tu! WATANZANIA LET US CHANGE!
au nyeti zao znahamia kwenye mapaji ya uso kwa wiki mbili nzima...!!