Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Hii sasa ni chuki sio utani wa jadi
Sababu ulikuwa simba ndio unatumia hiyo advantage ili watu waamini?
Simba ilikuwa na team bora na imara sana wacha chuki zako sope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu unataka kusema huyu ni mtu mzushi na muongo? Lakini kitendo cha wachezaji wa Simba ku perform vizuri sana uwanja wa kwa Mkapa kiasi kwamba mpaka timu pinzani inaona kuwa kuna wachezaji wa maana wa kuwasajili lakini mwisho wa siku wote wanaenda kuwa mizigo kwenye timu zao mpya. Ni jambo la kufikirisha kuna nini nyuma ya panzia kinachowafanya wakina Bocco wabadilike na kuwa kama CR7 kwa Mkapa pekeeView attachment 2118264
Hii sasa ni chuki sio utani wa jadi
Sababu ulikuwa simba ndio unatumia hiyo advantage ili watu waamini?
Simba ilikuwa na team bora na imara sana wacha chuki zako sope
Mkuu huwa unafwatilia mpira?Kwahiyo mkuu unataka kusema huyu ni mtu mzushi na muongo? Lakini kitendo cha wachezaji wa Simba ku perform vizuri sana uwanja wa kwa Mkapa kiasi kwamba mpaka timu pinzani inaona kuwa kuna wachezaji wa maana wa kuwasajili lakini mwisho wa siku wote wanaenda kuwa mizigo kwenye timu zao mpya. Ni jambo la kufikirisha kuna nini nyuma ya panzia kinachowafanya wakina Bocco wabadilike na kuwa kama CR7 kwa Mkapa pekee
NdioMkuu huwa unafwatilia mpira?
Amka kumekuchahata wafanyeje leo makolo laima wachezee kipondooooo
Mmemuokota kibonde leo…Amka kumekucha
Endelea kuteseka
Tulitarajia majibu kama haya toka kwa wahanangwa kama nyie!Mmemuokota kibonde leo…
Tupe matokeo😅😅hata wafanyeje leo makolo laima wachezee kipondooooo
Sope
Vipi kuhusu samata?Kwahiyo mkuu unataka kusema huyu ni mtu mzushi na muongo? Lakini kitendo cha wachezaji wa Simba ku perform vizuri sana uwanja wa kwa Mkapa kiasi kwamba mpaka timu pinzani inaona kuwa kuna wachezaji wa maana wa kuwasajili lakini mwisho wa siku wote wanaenda kuwa mizigo kwenye timu zao mpya. Ni jambo la kufikirisha kuna nini nyuma ya panzia kinachowafanya wakina Bocco wabadilike na kuwa kama CR7 kwa Mkapa pekee
mbona alifuta posti yakeKwahiyo mkuu unataka kusema huyu ni mtu mzushi na muongo? Lakini kitendo cha wachezaji wa Simba ku perform vizuri sana uwanja wa kwa Mkapa kiasi kwamba mpaka timu pinzani inaona kuwa kuna wachezaji wa maana wa kuwasajili lakini mwisho wa siku wote wanaenda kuwa mizigo kwenye timu zao mpya. Ni jambo la kufikirisha kuna nini nyuma ya panzia kinachowafanya wakina Bocco wabadilike na kuwa kama CR7 kwa Mkapa pekee
sasa msukule alikuwa anamshauri nani kama tumeokota kibondeMmemuokota kibonde leo…